KING KAKA Mpenzi wangu cover image

Mpenzi wangu Lyrics

Mpenzi wangu Lyrics by KING KAKA


Okay cloud 9 si unapendwa mama
Haujasikia unapendwa sana
Na incase usahau na ikae ni kama
Nitakuremind ama
Njagala gwi mama, njagala gwi mama

Okay na nitabuy two rings ya masikio unaweza toa
Hiyo ingine si unajua ni ya ndoa
I was trapped na unajua we ndo key
Au chai rangi mama we ndo unatii
Njagala gwi mama, nakupenda mama oooh

Na hakuna like you na macho zako tu na
Kam ujione kwa my view 
Aki ya nani hii ni mapenzi ya aina gani?
Mi ni shenzi kwako yaani yaani njoo kwangu

Njagala gwi mpenzi wangu, njagala gwi
We ni wangu wangu mama
Njagala gwi mama, njagala gwi
Njagala gwi sweety, oooh njagala gwi
We ni wangu wangu mama
Njagala gwi mi nakupenda sana, njagala gwi

-- 
Nikitizama yako macho
Unanikaba na mawazo...

Njagala gwi mpenzi wangu, njagala gwi
We ni wangu wangu mama
Njagala gwi mama, njagala gwi
Njagala gwi sweety, oooh njagala gwi
We ni wangu wangu mama
Njagala gwi mi nakupenda sana, njagala gwi

Njagala gwi mpenzi wangu, njagala gwi
We ni wangu wangu mama
Njagala gwi mama, njagala gwi
Njagala gwi sweety, oooh njagala gwi
We ni wangu wangu mama
Njagala gwi mi nakupenda sana, njagala gwi

Watch Video

About Mpenzi wangu

Album : The Servant & The King Mixtape / Mpenzi wangu (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Kaka Empire.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 08 , 2020

More KING KAKA Lyrics

KING KAKA
KING KAKA
KING KAKA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl