DODOMA 2 Lyrics by KING KAKA


Kwanini umerudi? Si ungeenda kabisa
Mtaa gani unaenda Niko willing kulipa visa
Hivo ndo nilikuwa najichocha moyoni  
Even though nilikuwa nakuota usiku zote ndotoni
Vile umerudi inadhani ni sikukuu  
Hatukuzaa na wewe so majuto sio mjukuu
Ngoja,najuaje wee ni wewe Na mimi ni mimi?
Ungenigeuza ratili ndio nijue haunipimi
Mbinguni uskiza wakati sinner Ataanza kuongea
Akaniambia nitoke haraka juu nilikuwa na sakwa
 na wale Wachagga kuhusu zile chapa
So mimi huyo Mbio bila ata Hoja , Mbio hadi Koja  
Fare ni soo moja hii tension yote,nikachapa njugu na soda
Dere si uende Betty alinishow nishuke hiyo mtaa hapo Kimende
Kwa Njia najikashifu,Mbona nipende
Kufika napata ile number ata ni mteja  
Kwanini tena,tunacheza chenga
Na Huyu Betty Ameenda?nkt


Ubaya batt yangu yangu inasema 2%
Nikiulizwa nafanya nini hapo nimetupa sense
Kivuli yangu siamini kila mtu suspicious  
Fear ni dark room mahali negative zinadevelop
Patience yangu ikaisha na Betty akawa Kero  
Hapo ndio nikaskia chuma baridi kwa mgongo
Akawhisper Turn around tu mdogo
Ile uoga nilikuwa nayo matumbo inatingikanga
Alikuwa my Betty kwa Ngepa na madigaga
Leta Simu yako na smile ni kaa tuko Sawa  
Rabbit,jua ni vile nakupenda sana
Akarudisha gun,Akaiseti kwa mbosho
Simu yangu akaichukua akapee a random shosho
Akadai ni love yetu iko Kwa test  
Maswali baadaye ati tuingie kwa basi next
After 2NK kakakam Eldoret express
Since wale Wachagga pia wanataka kututenda
Wakafika Kimende wanapata tushaenda -Kitambo

Watch Video

About DODOMA 2

Album : Dodoma 2 (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) A Kaka Empire 2020.
Added By : Afrika Lyrics
Published : Oct 28 , 2020

More KING KAKA Lyrics

KING KAKA
KING KAKA
KING KAKA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl