Naangalia Kiuno Lyrics
Naangalia Kiuno Lyrics by KELECHI AFRICANA
Kakiinama kama kamekaa
Kashepu kake chupa ya kola
Aki ya Mungu mi kananiroga
Kakiinama ki mashallah
Naangalia kiuno eeh, naangalia kiuno
Naangalia kiuno eeh, naangalia kiuno
Naangalia kiuno eeh, naangalia kiuno
Naangalia kiuno eeh, naangalia kiuno
Akikubali kwenda nami eeh
Mi nakapa vitu yaani mpaka che eh
Hunnie zima feni nipepee
Kama ni kiu sema maji nikuletee
Kakiinama kama kamekaa
Kashepu kake chupa ya kola
Aki ya Mungu mi kananiroga
Kakiinama ki mashallah
Naangalia kiuno eeh, naangalia kiuno
Naangalia kiuno eeh, naangalia kiuno
Naangalia kiuno eeh, naangalia kiuno
Naangalia kiuno eeh, naangalia kiuno
Yaani kashepu kama vile Huddah
Nadhani mwaka ujao katafika Vera
Yaani kashepu yaani kama ka Hamisa
Aki ya Mungu ananimurder yeah
Naangalie eh, naangalia kiuno cha
Naangalie eh, kiuno cha Jovial
Naangalie eh, kiuno cha Nadia
Naangalie eh, Kiuno cha Akeelah
Kakiinama kama kamekaa
Kashepu kake chupa ya kola
Aki ya Mungu mi kananiroga
Kakiinama ki mashallah
Naangalia kiuno eeh, naangalia kiuno
Naangalia kiuno eeh, naangalia kiuno
Naangalia kiuno eeh, naangalia kiuno
Naangalia kiuno eeh, naangalia kiuno
Watch Video
About Naangalia Kiuno
More KELECHI AFRICANA Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl