E-SIR Boomba Train  cover image

Boomba Train Lyrics

Boomba Train Lyrics by E-SIR


Tumekuja ku-party, DJ hebu weka tracky
Tukule hepi halafu tufungue sakafu
Sababu inabamba, inashika
Wingu la tisa inatufikisha
Ukiachilia mahewa, manze, DJ unatubeba

Ah (Uu-wii!) Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Boom-ba-boom-ba-ah
Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Boom-ba-boom-ba (Ahhh!)

Karibia, inakubamba
Vipi dada, shake hiyo nanda
Inaku-touch-touch, usi-relax-lax
Kwenye dance floor, show us your work-work
Unanoki, hauchoki, kwenye dance floor, hautoki
Unahisi hii mziki?
Unahisi Nameless na mimi?

It's Nameless (Ah!)
And E-Sir, in conjunction with Ogopa
Tumekuja kuhakikisha kwamba speaker zinasikika
Hey, you, mister! Are you a member?
Hey, you, sister! Wacha kulenga!
Can't you see that I’m talking to you?
Sasa weka mikono juu!

Ah (Uu-wii!) Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Ukikatika na hii ngoma
Just be cool as a cucumber (Ahhh!)

(Hello, Nameless, uko fresh lakini?)
Twende, Wewe, yeye, yeye, wewe
Vice versa, vile wataka
Mister, brother, wacha kuzubaa
Ukisleki hautapata

Fungua macho, floor ni yako
Cheza wimbo kama ni wako
Cheza wimbo kama ni wako, sababu huu wimbo ni wako
E-Sir, hatucheki na watu

Nameless, hatucheki na watu
Ma-emcee, hatucheki na watu
Ogopa, hatucheki na watu
Unahisi hizi flow za Africa? (Uh-huh)
Unahisi kama unakatika? (Uh-huh)

Can you feel this, front to the rear? (Uh-huh)
Can you feel this up in here?

Ah (Uu-wii!) Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Ukikatika na hii ngoma
Just be cool as a cucumber (Ahhh!)

Na tumekuja ku-party, ambia wenzetu, "Samahani"
Hawako nasi, hatuko nao, basi wametupa mbao
Sababu inabamba, inashika
Wingu la tisa inatufikisha
Ukiachilia mahewa, manze, DJ unatubeba

Ah (Uu-wii!) Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Boom-ba-boom-ba-ah
Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Ukikatika na hii ngoma
Just be cool as a cucumber

(Ah! Ah! Ah! Ah!)
Ukikatika na hii ngoma
Just be cool as a cucumber (Ahhh!)

Watch Video

About Boomba Train

Album : Boomba Train (Single)
Release Year : 0
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 19 , 2021

More E-SIR Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl