Waubani Lyrics by KASSIM MGANGA


Ayaaaah
Manzabay Bombay
Tangaaa

Walisema hatuendani nani
Hawajui ya ndani
Ni ndio wake funny
Wakasema simuweki ndani
Wakala yamini, haiwezekani
Pendo pendo kanidilika
Kaliziba pengo nachekaaa
Natafutana namung’unya nala tunda na maganda
Tulivyo, kama mapacha
Twafanana mpaka kucha
Tulivyo, kama mapacha
Twafanana, hadi raha

Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani

Wakatabiri tutaachana
Kwa mashairi kutusema
Taayuri hugeuka shonde
Wametaayari nafunika kombe
Macho nimechutuma sipepesi simuliki
Jicho  lakutazama usilitie kijiti
Natafutana namung’unya hala tunda na maganda
Tulivyo, kama mapacha
Twafanana mpaka kucha
Tulivyo, kama mapacha
Twafanana, hadi raha

Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani

Watch Video

About Waubani

Album : Waubani (Single)
Release Year : 2022
Copyright : ©2022 Manzabay.All Rights Reserved.
Added By : Farida
Published : Mar 29 , 2022

More KASSIM MGANGA Lyrics

KASSIM MGANGA
KASSIM MGANGA
KASSIM MGANGA
Bao
KASSIM MGANGA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl