Silipizi Lyrics by KASSIM MGANGA


He eeh
Yanini npasukwe roho
Napenzi lateketea
Kwanini nibaki nalo
napenzi lishajifia
Siyafanyi majigamboo
Nimempata mwengineewe
Wacha nililie kandoo nibembelezwe na yeeye

Bora kuyajua mapenzi mwisho jelaaha
Ila naomba duaa yasiijilee hayaa
Silifanyi mailipizi
Ila moyo umechaguaa
Mapenzi yako siwezi
Wazimu yanisumbuaa
Uponyekikwajiezi
Wala mganga kuagua
Mwisho ningekua chizi
Waseme umenikimbia

Ati mahaaba sina
Nautajili wangu wa jina
Nitakusumbuaa umaarufu maraadhi
Wao wanajua kuyahukumu mapenzi ya watuu

Ati mahaaba sina
Nautajili wangu wa jina
Siilii mapita na wewe
Ila nimefika mwishoohohoho
Wala siita vutana na wewe
Tukatoana jashoohohoho

Silifanyi malipizi
Ila moyo umechaguaa (umechaguaa)
Mapenzi yako siwezi
Wazimu yanisumbuaa (wowowo)
Uponyeki kwajiezi wala mganga kuagua
Mwisho ningekua chizi waseme umenikimbia
Bonge la toto penzi ameliweka juu ( juu juu juu)
Kwake nmesettle roho ani iweke juu ( juu juu juu)
Silifanyi mailipizi
Ila moyo umechakua
Mapenzi yako siwezi
wazimu yanisumbua (yanisumbuuaa)
Uponyeki kwa jiezi wala nganga kuagua
Mwisho ningekwa chizi
waseeme umenikimbia (aahh)
Mwisho ningekwa chizi waseeme umenikimbia yaya

 

Watch Video

About Silipizi

Album : Silipizi (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Dec 12 , 2018

More KASSIM MGANGA Lyrics

KASSIM MGANGA
KASSIM MGANGA
Bao
KASSIM MGANGA
KASSIM MGANGA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl