Kutu Lyrics by KABAGAZI


Unacheza chezwa hamwachani
Hamwachani na bado hamwachani
Hautowangi kitu hupewangwi
Haupewangwi ndo maana haupewangwi

Kutu kutu kutu kutu
Kutu kutu kutu kutu (Aiii)
Kutu kutu kutu kutu (Aiya)
Kutu kutu kutu kutu (Aiii)
Kutu kutu kutu kutu (Aiya)

Asalaam aleikum, aleikum salam kabagazi
Mbona umetii kama mandazi
Bana mastress sina manzi

Ati hatoi kitu roho safi apotee
List jo ni ndefu akae kando angojee
Mi nataka dem ka Akothee
Bila pesa haiwezi haiwezi

Sema kweli una kutu, una kutu una kutu
Ju hunanga mtu, hunanga mtu
Kila mtu amekushuku 
Ndo maana wamekupiga marufuku 

Unacheza chezwa hamwachani
Hamwachani na bado hamwachani
Hautowangi kitu hupewangwi
Haupewangwi ndo maana haupewangwi

Kutu kutu kutu kutu
Kutu kutu kutu kutu (Aiii)
Kutu kutu kutu kutu (Aiya)
Kutu kutu kutu kutu (Aiii)
Kutu kutu kutu kutu (Aiya)

Boy umeagiza nakuchoresha giza
Pyramid scheme na mchezo za kuigiza
Naskia makelele next door
Kumbe kuna what, kumbe kuna war

Kuna Oneboy flani amefichwa kabati
Oneboy flani aliuliza tu ni aje
Na ndio tofauti, tofauti yangu mi na wewe
Ni evident una kutu, ju hunanga mtu
Alafu kila gal anakushuku 
Ndo maana wamekupiga marufuku, marufuku

Unacheza chezwa hamwachani
Hamwachani na bado hamwachani
Hautowangi kitu hupewangwi
Haupewangwi ndo maana haupewangwi

Kutu kutu kutu kutu
Kutu kutu kutu kutu (Aiii)
Kutu kutu kutu kutu (Aiya)
Kutu kutu kutu kutu (Aiii)
Kutu kutu kutu kutu (Aiya)

Never on toes yaani daily we mlevi
Aiayayyayaya ushenzi
Huwezi piga pozi kali moja tu mneti
Aiayayyayaya huwezi

Bazuu wa uduu hujui kusaka hizi peni
Mwanaume piga hustle na uwache kuwa mlazy
Unajiconfuse ndo maana bado una wengi
Na kama huwezi chagua wachana na mapenzi

Wachana nani haiwezi haiwezi, haiwezi
Round this nina goals kama Messi
Nimekuja kuharibu nawaacha mkiwa messy
Na kutoa kutu ni lazima....

Unacheza chezwa hamwachani
Hamwachani na bado hamwachani
Hautowangi kitu hupewangwi
Haupewangwi ndo maana haupewangwi

Kutu kutu kutu kutu
Kutu kutu kutu kutu (Aiii)
Kutu kutu kutu kutu (Aiya)
Kutu kutu kutu kutu (Aiii)
Kutu kutu kutu kutu (Aiya)

Unakulwa na ma umbu ju hauna mtu
Siri ya mluhya uliza kuku
Jina ni shikuku na unajishuku
Puss puss inazamisha chuchu

Ate kijana good bad manners
Nalima kama farmer eh inastammer
Venye nawahanya ah mafaa jabas
Anagwara nikigwara

Can't I, Can't I
Ananyimwa sana nanyonga tie
Ukiwa mafutani niko na karai
Huwezi kupenda beef kuliko masai

Kutu kutu kutu kutu
Kutu kutu kutu kutu (Aiii)
Kutu kutu kutu kutu (Aiya)
Kutu kutu kutu kutu (Aiii)
Kutu kutu kutu kutu (Aiya)

Watch Video

About Kutu

Album : Kutu (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Superstar Ent.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 16 , 2021

More KABAGAZI Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl