JOVIAL Usiku Mmoja  cover image

Usiku Mmoja Lyrics

Usiku Mmoja Lyrics by JOVIAL


Mmhh Vicky Pondis
Usiku mmoja nawe (The Baddest)
Usiku mmoja nawe, usiku mmoja

Mi ndio picha 
Nasasambua tena bila kikomo
Naifinyia kwa ndani naicheketua

Mi napiga shift double decker
Sina muda wa kudeka
Mapenzi yashanipiga chenga
Ukizengua mi nasepa

Nataka usiku mmoja nawe
Nipekeche hadi che
Ila mapenzi nawe, oh aah

Nataka usiku mmoja nawe
Nipekeche hadi che
Ila mapenzi nawe, oh aah

Niko tepe kama chipsi zege
Usiku moja nawe
Nitembeze fimbo ya utembe
Usiku moja nawe

Niko tepe kama chipsi zege
Usiku moja nawe
Nitembeze fimbo ya utembe
Usiku moja nawe

Mi nataka usiku mmoja nawe, usiku mmoja nawe
Aii we, usiku mmoja nawe, usiku mmoja nawe
Mi nataka usiku moja nawe, usiku moja nawe
Oh daddy o hey, usiku mmoja nawe, usiku mmoja nawe

Mi nachekecha, nacheketua, nachekecha nacheketua
Mi nachekecha, nacheketua, nachekecha nacheketua
Mi nachekecha, nacheketua, nachekecha nacheketua
Mi nachekecha, nacheketua, nachekecha nacheketua

Wee, unataka kujaribu, jaribu vitu 
Usijaribu dry itakubadilisha
Utafungua moyo mpaka madirisha
Nakuona kwenye macho unajitamanisha
She came for one night stand 
Asubuhi amevaa langu apige stori za maisha 
Ameomba kuonja kanogewa kawa ruba
Hataki kuondoka akiondoka anataka kuja
Amezoea fegi kakutana na mjuba
Kashamja msuba na mchanja buga
Anawashwa na puna, natoa kila huduma
Nafumua nafuma

Maneno namung'unya mung'unya naguna guna
She wanna take a shower 
Kama kawa niko nyuma (Mr Burudani)

Niko tepe kama chipsi zege
Usiku moja nawe
Nitembeze fimbo ya utembe
Usiku moja nawe

Niko tepe kama chipsi zege
Usiku moja nawe
Nitembeze fimbo ya utembe
Usiku moja nawe

Mi nataka usiku mmoja nawe, usiku mmoja nawe
Aii we, usiku mmoja nawe, usiku mmoja nawe
Mi nataka usiku moja nawe, usiku moja nawe
Oh daddy o hey, usiku mmoja nawe, usiku mmoja nawe

Mi nachekecha, nacheketua, nachekecha nacheketua
Mi nachekecha, nacheketua, nachekecha nacheketua
Mi nachekecha, nacheketua, nachekecha nacheketua
Mi nachekecha, nacheketua, nachekecha nacheketua

Sina muda wa kudate
Nihonge tukaspend nikupige fusho bila band
Nikubebe tucheze na kitete
Hii ngoma sio ya uzembe 

Sina muda wa kudate
Nihonge tukaspend nikupige fusho bila band
Nikubebe tucheze na kitete
Hii ngoma sio ya uzembe 

(Take 5 now...)

Watch Video

About Usiku Mmoja

Album : Usiku Mmoja (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 06 , 2021

More JOVIAL Lyrics

JOVIAL
JOVIAL
JOVIAL
JOVIAL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl