JOLIE Haimaanishi cover image

Haimaanishi Lyrics

Haimaanishi Lyrics by JOLIE


Hautaki ata niulize
Ulikuwa wapi
Jibu lako kubwa ni ubize
Na washikaji
Mimi nilitoka machozi mwanzoni
Now nishazoea
Mikki na vitimbi ni mapeenzi
Najaribu kuiforce furaha nisikukere
Labda ukimya wangu unakupa raha ni sielewi
Nimeamua niachae makelele
Maka siki ukae unielewe
Sikulizi ili nikukere nakujali
Nimeamua niache makelele
Mpaka siku uake unielewe
Kwamba  mimi ndo yule (ndo yule)

[CHORUS]
Haimaanishi
Siangaiki nawe kwenye akili yangu
Haimaanishi
Upendo wako uwe fimbo au pingu kwangu
Sio rahisi
Nisahau sura yako kwenye mboni yangu
Sio rahisi
Kuiandika taraka kwa vidole vyangu

Japo sijui kusoma na picha nimeiona (nimeiona)
Una mpango wa kando nafsi yangu unaichoma aah
Nikikuuliza maswali unakoloma
Kumbatia uongo ila ukweli uakuponya ah
Nimeamua niache makelele
Mpaka siku uakae unielewe
Sikuulizi ili nikukere nakujali
Nimeamua niache makelele
Mpaka siku ukae unielewe
Kwamba mimi ndo yule (ndo yule)

[CHORUS]
Haimaanishi
Siangaiki nawe kwenye akili yangu
Haimaanishi
Upendo wako uwe fimbo au pingu kwangu
Sio rahisi
Nisahau sura yako kwenye mboni yangu
Sio rahisi
Kuiandika taraka kwa vidole vyangu ooh
Oh yeah yeah yeah….

Wacha niuchunge ulimi
Usije ukaponza kichwa
Bora niuchunge ulimi wangu
Usije ukaponza kichwa
Kichwa
kichwa

 

Watch Video

About Haimaanishi

Album : Haimaanishi (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Jul 17 , 2018

More JOLIE Lyrics

JOLIE
JOLIE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl