JOEL LWAGA Nafasi Nyingine cover image

Nafasi Nyingine Lyrics

Nafasi Nyingine Lyrics by JOEL LWAGA


Mavumbi umenifuta yote
Habari umebadili yote
Machozi umenifuta yote
Aibu umeondoa yote

Umeniita mwana niliyekuwa mtumwa
Umenisimamisha katika wingi wa neema
Na umeniketisha mahali pa juu sana

Ninaucheka wakati uliopita
Nikiufurahia ule ujao
Ninaucheka wakati uliopita
Nikiufurahia ule ujao

Maana umenipa(Nafasi nyingine)
Umenipenda tena bila kukoma(Nafasi nyingine)
Neema yako imeniinua tena(Nafasi nyingine)
Umenipa tena bila kuchoka(Nafasi nyingine)

Mungu wa neema 
Wa neeema(Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)

Madaktari walisema sitapona tena
Walimu walisema nitafeli 
Ndugu na jamaa walisema nimeshindikana
Na kumbe wewe waniwazia mema

Umri uliposogea walisema ndoa si fungu langu
Nilipofiwa na mpendwa yule walisema sitaweza tena
Baada tu ya kufilisika, sikumwona wa kuniombea
Na kumbe ndani yao walifurahi niliyopitia

Ninaucheka wakati uliopita
Nikiufurahia ule ujao
Ninaucheka wakati uliopita
Nikiufurahia ule ujao

Maana umenipa(Nafasi nyingine)
Umenipenda tena bila kukoma(Nafasi nyingine)
Neema yako imeniinua tena(Nafasi nyingine)
Umenipa tena bila kuchoka(Nafasi nyingine)

Mungu wa neema 
Wa neeema(Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)

Maana umenipa(Nafasi nyingine)
Kweli umenipa(Nafasi nyingine)
Umenipa(Nafasi nyingine)
Bwana umenipa(Nafasi nyingine)

Mungu wa neema 
Wa neeema(Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)
Wa neema, neema (Aaah)

Watch Video

About Nafasi Nyingine

Album : Nafasi Nyingine (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 08 , 2019

More JOEL LWAGA Lyrics

JOEL LWAGA
JOEL LWAGA
JOEL LWAGA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl