Unitoke Lyrics by IBRAH NATION


 

Oooh yeah yeah yeah
Oooh yeah yeah yeah
Ni vibaya

Kumbato na busu ndo vya kunidanganyia
Nami niamini napendwa kwenye dunia
Ili nikigeuza shingo unanifikiria
Mbona nikipiga simu hutaki kupokeaga

Sina dhamana, sijakuzaa
Una maamuzi yako kumpenda anayekufaa
Ningejaliwa mali ningekupaa
Usiwaze mwingine tena
Unipende tu mi dada

Umenikoleza nami nimekolea
Nikajua na moyo utatulia
Kwenye jamvi eeh(aaah)

Sikuja kwako umenijikulia
Kilio na furaha dear
Nikaweka kambi eee(aaah)

Nitafanya ninachoweza
Ili unitoke kwenye akili yangu
Na moyo wangu, unitokee

Kama muda nimeshapoteza
Ili unitoke kwenye akili yangu
Na moyo wangu, unitokee

Unitokee...(aaah)

Siwezi kujidanganya
Najua wanichanganya
Zangu wamenizidi uchungu

Huwa nakuona 
Mara nyingi ukiongea naye
Natamani nianzishe mavurugu

Sina dhamana, sijakuzaa
Una maamuzi yako kumpenda anayekufaa
Ningejaliwa mali, ningekupaa
Usiwaze mwingine tena
Unipende tu mi dada

Umenikoleza na mimi kolea
Nikajua na moyo utatulia
Kwenye jamvi eeh(aaah)

Sikuja kwako umenijikulia
Kilio na furaha dear
Nikaweka kambi eee(aaah)

Nitafanya ninachoweza
Ili unitoke kwenye akili yangu
Na moyo wangu, unitokee

Kama muda nimeshapoteza
Ili unitoke kwenye akili yangu
Na moyo wangu, unitokee

Watch Video

About Unitoke

Album : Unitoke
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 18 , 2019

More IBRAH NATION Lyrics

IBRAH NATION
IBRAH NATION
IBRAH NATION
IBRAH NATION

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl