Wahi Wahi Lyrics by HOPEKID


Yeees man, see mi a seh
Hhmm na nicah the Queen 

Umeniwahiwahi mama, kama mwizi kwa mikono ya raia
Umeniwahiwahi mama, kama mlevi amelemewa na bia
Umeniwahiwahi mama, zawadi Mungu amenitunukia
Gyal you got mi whole heart it’s time fi settle down now

Nataka pete pete nikuvishe
Na vitenge tenge tufananishe
Tuwatese tese tuwa-feelishe 
Waone gere gere gere 

Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa

Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa

Ooh I know I know
You wanna be with me tena wanidhamini
And I know I know si rahisi
Ila nitajitahidi

Nakubali pete pete univishe 
Na vitenge tenge tufananishe
Tuwatese tese tuwa-feelishe 
Waone gere gere gere

Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa

Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa

Babe you you you
Babe you
Babe you you you
umeni wahiii     

Babe you you you (Kama mwizi kwa mikono ya raia)
Babe you (Kama mlevi amelemewa na bia)
Babe you you you, umeni wahiii        

Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa

Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa
Umeni wahi wahi mama
Umeni wahi wahi maaaa

Nimeku wahi wahi sana
Nimeku wahi wahi sana
Nimekuwaaaahi wahii

Watch Video

About Wahi Wahi

Album : Wahi Wahi (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 12 , 2021

More HOPEKID Lyrics

HOPEKID
HOPEKID
HOPEKID
HOPEKID

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl