HARMORAPA Fyekelea cover image

Fyekelea Lyrics

Fyekelea Lyrics by HARMORAPA


Kisa kutoka na mzungu
Wanaleta wivu 
Kifupi hawaishii majungu
Konde kula ndizi mbivu

Piga pesa, piga Zari
Na Mobetto wao 
Tuna nyumba tuna gari
Hatufanani nao
Utakula mzigo

Kwenye sifa unameremeta
Mchele una petapeta
Ukiniona unacheka cheka
Unapenda kudeka deka aah

Staki wanawake kama
Tukinawa una kichungi
Kukaa uchi mi naona ni ushamba
Sitaki kula karanga

Siogopi tu kuwa Amber Rutty
Wala mama vaa shanga
Haa, vaa shanga
Unaleta ujinga unaongea ovyo kama unakaza
Sijui ni joto tam
Mpaka unavaa unoma unavaa peni
Yaani hawasomeki wazee wanaita beiby, beiby

Fanya kuwachana nao
Wasikuzuge na usawa kaki wanakula kwao
Wanapaka lotion na powder za dada zao
Nashangaa wanatongoza wanawake wenzao

Wanaume kogo famente, huo ni umama
Hayo mauno vipi, huo ni umama
Nakudari we ni kebe, huo ni umama
Shikwa makalio na kicheche, huo ni umama

Mwanaume mshinda insta, fyekelea mbali
Bibi kunyita sister, fyekelea mbali
Wasanii wapenda sifa, fyekelea mbali
Na insta za kimataifa twende, fyekelea mbali

Wapaka mafuta, sukuma ndani
Wapenda cha ukucha, sukuma ndani
Ma Dj wapenda rushwa, sukuma ndani
Wanaopenda kusuuzwa pia, sukuma ndani

Eti Harmo unatembeza mjegejo
Usishangae domo akivaa mlegezo
Kikuu kuu freemaster anatembeza vigezo
Harmo Rapper hapa master ndiyo namba ya mchezo

Jua ha, washavua ila tuambie bwana mamaza
Wanajifanya wanachukia matendo tabia za
Tushawajua tushawashusha vyeo vyao
Wengine waheshimiwe, wengine wanajiita masimba

Cha ajabu wanavaa suruali hazina marinda
-- umekuwa mmbeya vile unakaa manujinga
Waarabuni unachinjwa ila Bongo unalindwa
Madem wanapenda boga
Alafu za wazee hivi hawana uwoga
Wanaogopa baruti na wanajiita masoja
Wamejaza vifua kumbe ni wapaka powder

Wanaume kogo famente, huo ni umama
Hayo mauno vipi, huo ni umama
Nakudari we ni kebe, huo ni umama
Shikwa makalio na kicheche, huo ni umama

Mwanaume mshinda insta, fyekelea mbali
Bibi kunyita sister, fyekelea mbali
Wasanii wapenda sifa, fyekelea mbali
Na insta za kimataifa twende, fyekelea mbali

Wapaka mafuta, sukuma ndani
Wapenda cha ukucha, sukuma ndani
Ma Dj wapenda rushwa, sukuma ndani
Wanaopenda kusuuzwa pia, sukuma ndani

Huo ni umama, huo ni umama
Huo ni umama, huo ni umama
Fyekelea mbali, fyekelea mbali
Fyekelea mbali, fyekelea mbali
Sukuma ndani, sukuma ndani
Sukuma ndani, sukuma ndani

Watch Video

About Fyekelea

Album : Fyekelea (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 15 , 2019

More HARMORAPA Lyrics

HARMORAPA
HARMORAPA
HARMORAPA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl