Zungusha Lyrics by RJ THE DJ


(It's S2kizzy beiby)
Rj the Dj all day baby
This goes to all the beautiful ladies out there
Ah wote

Leo natuma nafsi na moyo
Vikupende wewe tu
Ya jicho ilo baki we mboni yangu
Baki na mimi tu 

Aibu, kitandani sarakasi kungfu
Na zenye burger we ugali fufu
Nalisha gadi imefufuka fufu
Ah baby yaani umening'aza kuku

Kama safari naenda nafika
Vile laini juu nakwea napita
Hallo, Kanumba Jeniffer
Tuwe wote na unizike nikifa

Baby vile mi unanipa
-- nimekunywa nipa
Love baby I need you yeah

Zungusha zungusha
Zungusha millioni
Zungusha zungusha
Zungusha millioni

Zungusha zungusha
Zungusha millioni
Zungusha zungusha
Zungusha millioni

Hapa kipapatio paja kidali sikupi ng'o
We na watu ila kula hukuli ng'o
My unavyonitania kichwa kinawaka
Moyo unacheza kwaito ya Yvonne Chakachaka
Natamani nikubebe twende chaka chaka
Kimoko mbili chwa mi nikam fasta fasta

Kama safari naenda nafika
Vile laini juu nakwea napita
Hallo, Kanumba Jeniffer
Tuwe wote na unizike nikifa

Baby vile mi unanipa
-- nimekunywa nipa
Love baby I need you yeah

Zungusha zungusha
Zungusha millioni
Zungusha zungusha
Zungusha millioni

Zungusha zungusha
Zungusha millioni
Zungusha zungusha
Zungusha millioni

Mi mgonjwa we ndo dakitari darling
Nilaze hali yangu sio shwari
Mi mpofu kwako sina hali
Nife na wewe nishakubali 

Watch Video

About Zungusha

Album : Zungusha (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 12 , 2021

More RJ THE DJ Lyrics

RJ THE DJ
RJ THE DJ
RJ THE DJ
RJ THE DJ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl