Yanga Lyrics by HARMONIZE


Hii hapa sauti ya Konde boy mjeshi
Mtoto wa jangwani timu ya wananchi
Yaani kati kati ya jiji la Dar

Si ndo watoto wa jangwani Yanga Dar Africa
Makombe ya kabatini Hawawezi kufika
Mpira unapigwa chini magoli uhakika
Yaani dakika tisini tumesha watundika

Wanaona donge hao wanyonge 
(Wanaona donge hao wanyonge)
Yanga tunaposhinda wanaona donge
(Wanaona donge hao wanyonge)

Wanaona donge hao wanyonge 
(Wanaona donge hao wanyonge)
Yanga tunaposhinda wanaona donge
(Wanaona donge hao wanyonge)

Engineer naomba nikutume
Unifikishie salamu 
Kwa Dr Msolo na Antonio Lugazi
Ah waambie majirani Yanga sio size yao
Yanga sio size yao, Kabisa!

Wanaokwenda na waende, watuachie wenyewe
Yanga sio size yao, Yanga sio size yao
Yanga sio size yao, Yanga sio size yao
Yanga sio size yao, Yanga sio size yao

Tupeleke GSM
Watoto wa GSM
Wanangu wa jangwani

Pale pale wanachechemea (Yanga tunatembea)
Wahuni wanachechemea (Yanga tunatembea)
Eeeh wanachechemea (Yanga tunatembea)
Aaah anachechemea (Yanga tunatembea)
Wamechoka wanachechemea (Yanga tunatembea)
Eeeh wanachechemea (Yanga tunatembea)

Yanga kindakindaki wapige waniue
Naipenda Yanga kindakindaki wapige waniue
Eeeh mimi shabiki kindakindaki wapige waniue
Yanga kufa kupona wapige waniue

Eeh basi kama unaipenda Yanga piga makofi
We wote tena twende, piga makofi
Kama unaipenda Yanga piga makofi
Ongeza ongeza tena, piga makofi

Aya pasha pasha wahuni pasha
Twende pasha pasha wahuni pasha
Aya pasha pasha danga pasha

Nasema piga makofi piga makofi
Piga makofi piga makofi
Piga makofi piga makofi
Piga makofi piga makofi

Kama wewe ni shabiki kweli
Onesha jezi nikuone
Uzi mweupe wa GSM
Wewe onesha jezi nikuone

Kama kweli shabiki damu
Vua jezi nikuone
We kama kweli shabiki damu
Lala chini tukuone

Asa Yanga daima mbele, mbele kwa mbele
Wakishindana na sisi watachuna tembele 
Twende mbele kwa mbele, Yanga daima mbele
Wakishindana na sisi watachuna tembele 

Yanga daima mbele, mbele kwa mbele
Wakishindana na sisi watachuna tembele 
Yanga daima mbele, mbele kwa mbele
Wakishindana na sisi watachuna tembele 

Watoto wa jangwani 
Waambie majirani zetu wamechokoza nyuki
Tunawapumulia golini kwao hatubanduki
Anayezungumza hapa ni Konde Boy mjeshi

Twende sasa!

Watch Video

About Yanga

Album : Yanga (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Konde Gang Music
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 24 , 2020

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl