Wote Lyrics by HARMONIZE


Mwenzako zikianza story za mapenzi
Mfano wakwanza Ni wewe
Hadi marafiki zangu wananicheka
Naukumbuka ushenzi
Tulofanyaga mi nawe
Mwenzako mi nakuonea vibwenga
Hata wakisema maneno ni bure
Maana nyani halionagi kundule
Wanachotaka tuachane uzurure
Watucheke kikowapi
Ujana una mengi na mengine na mi nimefanya
Siwez danganya nishamaliza
Kila niliempaga moyo autunze
Basi aliugawanya ona nilihanya ikaniumiza
We unanijali unanivumilia

I wish tuzeeke wote
I wish tuzikwe wote mmoja akifa kesho
Yeah mule kuhan
Unanipenda
I wish tuzeeke wote
I wish tuzikwe wote mmoja akifa kesho
Mapenzi sa ukiondoka nitabaki na Nani
Mapenzi ukibaki nitaondoka na Nani
Siwezi peke yangu

Yea
Mama ukiongeza nitajinenepea
Unavyo nigombeza nakuona una care
Eti hatujapendeza wanatufokea
Mi I don’t care ndo nishakolea
Kipofu nishaona mwezi vurugu vurugu siwezi
Leo sinza kesho kinyerezi
Mara mbezi Ujana una mengi na mengine na mi nimefanya
Siwez danganya Nishamaliza
Kila niliempaga moyo autunze
Basi aliugawanya ona nilihanya Ikaniumiza
We unanijali unanivumilia

I wish tuzeeke wote
I wish tuzikwe wote mmoja akifa kesho
Yeah mule kuhan
Unanipenda
I wish tuzeeke wote
I wish tuzikwe wote mmoja akifa kesho
I wish I wish
I wish I wish

Mapenzi sa ukiondoka nitabaki na Nani
Mapenzi ukibaki nitaondoka na Nani
Siwezi peke yangu

Watch Video

About Wote

Album : Made For Us (Album)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Nov 01 , 2022

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl