Kwa Ngwaru Lyrics by HARMONIZE


Iyoo Lizer

[Harmonize]
Hhhhmmmm
I wish ninge kuwaga na mavumba
Mkwanja manoti
Nikuhonge vya thamani
Ama!
Niwe fundi wa kuigiza ka Kanumba
Masanja Joti
Usiwe mbali nami
Hhhmmmm

My darling, I need you love oh
Uwe nami
Haki ya mungu nakupenda
Nobody can show your love oh
Usiwaamini
Ukisha wapa wanakwenda

Oh, basi jilegeze
Nikubebe mgongoni (iyelewi)
Deka nikudekeze
Nikutunze kama mboni (iyelewi)
Wakija uwapoteze
Jifanye kama huwaoni (iyelewi)
Kisha uniongeze
Ulivyofunzwa unyangoni (iyelewi)

[CHORUS]
Ooh baby…
Asa dance nikuone (kwa ngwaru)
Wa bami jo (kwa ngwaru)
Ololu Femi (kwa ngwaru)
Oooh baby….
Asa cheza nikuone (kwa ngwaru)
Wa bami jo (kwa ngwaru)
Basi cheza na mimi (kwa ngwaru)

Aaagah

[Diamond Platnumz]
Moyo wangu wa muarobaini
Mchungu ukiuziwa
Samehe mara sabini
Huo uzungu sija jaaliwa
Ungependa juu ama chini
Kwenye uvungu uparemiwa
Nikumbatie baridini
Kwenye tundu kama njiwa
Moyo wangu mie wa makuti
Usinijie na kiberiti
(Hasa wee !)
Penzi likageuka chuki
Nyumba ikawa kibiti
(Hasa wee!)
Nipatie vya kitandani
Nipe mpaka kwenye kiti
(Hasa wee!)
Ila asiniingie shetani
Nawe nikaja kukucheati

Oh, basi jilegeze
Nikubebe mgongoni (iyelewi)
Kitandani nikoleze
Kwa miuno ya kingoni (iyelewi)
Kisha nibembeleze
Nirudishe utotoni (iyelewi)
Weka mate niteleze
Kama nyoka pangoni (iyelewi)

[CHORUS]
Ooh baby…
Asa dance kidogo (kwa ngwaru)
Oh wabanwe choo (kwa ngwaru)
Ololu Femi (kwa ngwaru)
Oooh baby….
Asa cheza nikuone (kwa ngwaru)
Wa bami jo (kwa ngwaru)
Basi cheza na mimi (kwa ngwaru)

Aaagah

[Diamond Platnumz & Harmonize]
Unataka kucheza chura na ingali umesimama
Ai inama inama
Asa waoneshe
Ai inama inama
Unachezaje
Ai inama inama
Unataka maji ya kisima na mwoga wa kuchutama
Ai inama inama
Ebu waoneshe
Ai inama inama
Unachotaje
Ai inama inama
Unataka kupiga deki wima umesimama
Ai inama inama
Ebu tuoneshe
Aah, inama inama
Unapiga je
Ai inama inama
Si unataka vya pool table sa' mbona unajibana
Ai inama inama
Ebu tuonyeshe
Ai inama inama
Unalenga je
Ai inama inama

(Wasafi Record)
Oya, wanangu wa kigogo (ai inama)
Nipe za Mose Iyobo (ai inama)
Vunja vunja kidogo (ai inama)
Aah, niongeze mikogo (aah, inama inama)

 

Watch Video

About Kwa Ngwaru

Album : Kwangwaru (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Jun 18 , 2018

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 1 )

.
Elton Sardinha 2019-01-22 00:27:48

Harmonize i'm your fan, and i apreciate the massege that you bring to the worldwide, I'm Mozambican, my countryfelloer also apreciate and like your song, I do understand a litle bit of Swahili, and I do speak English fouently, by so, I try to explain some of my clooser friends, colegues and friends. And the would be gratefull if you'd write your song's lirycs in portuguese.... Assanti sana... May God bless you and Diamond Platnumz...



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl