HARMONIZE Kidonda Changu cover image

Kidonda Changu Lyrics

Kidonda Changu Lyrics by HARMONIZE


Mazuu On The Beat!
Uh uuh
Uh uuh
Mmh!

Yale maneno matamu nikafikiri nyota njema
Mara asubuhi, asubuhi moyoni
Kumbe miale ya sumu ulikusudia kunichoma
Angali sijui, sijui kisa niii

Nimeamini penzi, penzi zigo la miba
Lishanichoma na kunipofua moyo (moyo moyo)
Bila ye siwezi mwenzenu napata shida
Amani sina kinauma kidonda changu

Kitachelewa (uuh uh)
Kupona kitachelewa chelewaa
Sema kitachelewa sweetie
Kidonda changu
Kitachelewa (uuh uh)
Kupona kitachelewa chelewaa
Sema kitachelewa sweetie
Yarabi moyo wangu

Yale mahaba ninyonge ntayamiss saana si unajua
Umenifanya nikonde shilingi sina ningenunua
Umenipora hata tonge angali shibe sina utaniua
Ningekunywaga na pombe, ila kichwa sina ningezimia

Nimeamini penzi, penzi zigo la miba
Lishanichoma na kunipofua moyo (moyo moyo)
Bila ye siwezi mwenzenu napata shida
Amani sina ninaugulia kidonda changu

Kitachelewa (uuh uh)
Kupona kitachelewa chelewaa
Sema kitachelewa sweetie
Jamani kidonda changu
Kitachelewa (uuh uh)
Kupona kitachelewa chelewaa
Sema kitachelewa sweetie
Yarabi moyo wangu

Mmh!
Na tena sipati usingizi (ai moyo, ai moyoo)
Ati kula mi siwezi (ai moyo, ai moyoo)
Tena nusu niwe chizi (ai moyo, ai moyoo)
Yote kisa mapenzi (ai moyo, ai moyoo)

Mazuuuuu (Record!)
Maximizer
Harmonize baby!

Watch Video

About Kidonda Changu

Album : Kidonda Changu (Single)
Release Year : 2015
Copyright : ©2015
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 09 , 2020

More HARMONIZE Lyrics

HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE
HARMONIZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl