...

Nisambazie Lyrics by HAMIS BSS


Iyeeh

Lolo

Naitwa Bwaka

Tafaran tash mabusu ya kila saa

Sina kizungu zungu kanituliza nimeja

Kwake kama zuzu kila anacho sema sawa

Siwezi sema mengine mimi ana nichanganya

Wololo lololooo

Baby naona raha kukosa ni karaha wewe

Siwezi shinda njaa wakati chakula changu ni wewe

Baby naona raha kukosa ni karaha wewe

Siwezi shinda njaa wakati chakula changu ni wewe

Tulimwagilie penzi nisambazie raha peke yangu siwezi

Ninogeshe na mapenzi usinipe karaha

Oonh baby oonh ndio maana

Mwingine mi sitaki nakutaka wewe apo

Kwingine mi siwazi nakuwaza wewe

Mwingine mi sitaki nakutaka wewe apo

Kwingine mi siendi nakufata wewe apo

Oonh

Ata sisemi ndio nishakuwa hivi tunapenda sisi

Nishakula nyama mbichi kipenda roho

Nikihisi baridi yeye ndio kumbato akihisi joto namfuta jasho

Siwafichi ameshika kunako ataki marafiki anajua kikulacho

Tulimwagilie penzi nisambazie raha peke yangu siwezi

Ninogeshe na mapenzi usinipe karaha

Oonh baby oonh ndio maana

Mwingine mi sitaki nakutaka wewe apo

Kwingine mi siwazi nakuwaza wewe

Mwingine mi sitaki nakutaka wewe apo

Kwingine mi siendi nakufata wewe apo

Watch Video

About Nisambazie

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Jul 08 , 2025

More HAMIS BSS Lyrics

HAMIS BSS
HAMIS BSS
HAMIS BSS
HAMIS BSS

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl