GUARDIAN ANGEL Nipandishe  cover image

Nipandishe Lyrics

Nipandishe Lyrics by GUARDIAN ANGEL


Mbiu uya migambo ikilia kuna jambo
Nami nalia kwasababu nina jambo
Hali ya dunia inanionyesha mambo
Njoo tembea nami hapa kando

Ee mkono wako unafikia watu kila sehemu
Naomba Bwana uje unirehemu
Uje unirehemu hii milima Yesu nipandishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Ee mkono wako unafika kila pande bwana
Unafika kila sehemu
Unabadilisha maisha ya kila binadamu bwana
Machali na mademu

Wale wamegive up kwa love na wanakuhitaji Bwana
Najua utawarehemu
Wahisi maisha yao yako same
Ila bwana uwabadilishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Mbele nina endelea
Ninazidi kutembea
Maombi uyasikie
Ee Bwana unipandishe 

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Eee Bwana uniinue
Kwa imani nisimame
Nipande milima yote
Ee Bwana unipandishe

Ukinipandisha mi nakuahidi
Nitafanya, fanya kazi fanya
Fanya kazi fanya, kazi ya Bwana
Nitafanya, fanya kazi fanya
Fanya kazi fanya, kazi ya Bwana

Ukiniinua mimi nita
Nitafanya, fanya kazi fanya
Fanya kazi fanya, kazi ya bwana
Nitafanya, fanya kazi fanya
Fanya kazi fanya, kazi ya bwana

Watch Video

About Nipandishe

Album : Nipandishe (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 7 Heaven Music
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 14 , 2021

More GUARDIAN ANGEL Lyrics

GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl