Machozi Lyrics by GUARDIAN ANGEL


Kama maua yanang'aa(Yanang'aa)
Mbona niparare?
Kama maua yanang'aa(Yanang'aa)
Na mimi mwanao inabidi ning'are

Kama maua yanang'aa(Yanang'aa)
Mbona niparare?
Kama maua yanang'aa(Yanang'aa)
Na mimi mwanao inabidi ning'are

Nafuta machozi, nafuta machozi
Nafuta machozi, nafuta machozi
Imani inapanda nafuta machozi

Nafuta machozi, nafuta machozi
Nafuta machozi, nafuta machozi
Imani inapanda nafuta machozi

Kama ndege wa angani wanapata msosi
Na sa iweje mi mwanao nipate mikosi?
Na wale tulosoma nao wamekuwa wadosi
Na mimi shida zanijia zikiwa kikosi

Kama ndege wa angani wanapata msosi
Na sa iweje mi mwanao nipate mikosi?
Na wale tulosoma nao wamekuwa wadosi
Maskini shida zanijia zikiwa kikosi

Wacha imani ipande, imani ipande
Wacha imani ipande, ipande ipande
Wacha imani ipande, imani ipande
Wacha imani ipande, ipande ipande

Kama maua yanang'aa(Yanang'aa)
Mbona niparare?
Kama maua yanang'aa(Yanang'aa)
Na mimi mwanao inabidi ning'are

Kama maua yanang'aa(Yanang'aa)
Mbona niparare?
Kama maua yanang'aa(Yanang'aa)
Na mimi mwanao inabidi ning'are

Nafuta machozi, nafuta machozi
Nafuta machozi, nafuta machozi
Imani inapanda nafuta machozi

Nafuta machozi, nafuta machozi
Nafuta machozi, nafuta machozi
Imani inapanda nafuta machozi

Oooh natoa nguvu kwa mashaka(Shaka)
Ju utakuja bila shaka(Shaka)
Unitoe kwa kichaka upanue mipaka

Natoa nguvu kwa mashaka
Ju utakuja bila shaka
Unitoe kwa kichaka upanue mipaka

Nafuta machozi, nafuta machozi
Nafuta machozi, nafuta machozi
Imani inapanda nafuta machozi

Kama maua yanang'aa(Yanang'aa)
Mbona niparare?
Kama maua yanang'aa(Yanang'aa)
Na mimi mwanao inabidi ning'are

Kama maua yanang'aa(Yanang'aa)
Mbona niparare?
Kama maua yanang'aa(Yanang'aa)
Na mimi mwanao inabidi ning'are

Nafuta machozi, nafuta machozi
Nafuta machozi, nafuta machozi
Imani inapanda nafuta machozi

Nafuta machozi, nafuta machozi
Nafuta machozi, nafuta machozi
Imani inapanda nafuta machozi

Oooh oooh 
Oooh nafuta machozi
Oooh oooh 
Oooh nafuta machozi

Watch Video

About Machozi

Album : Machozi (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 27 , 2020

More GUARDIAN ANGEL Lyrics

GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl