Baba Lyrics by GRIPA MUSIC


Mungu wangu, Baba yangu
Umejawa na sifa, umejawa na sifa
Mungu wangu, Baba yangu
Umejawa na sifa, umejawa na sifa

Umezungukwa na upinde wa mvua
Utukufu ni vazi lako bwana, ewe bwana
Wewe ni Mungu kwa sababu
Unafanya mambo tusiyoweza kuyafanya, kuyafanya

U zaidi ya vionekanavyo
U zaidi ya maneno
U zaidi ya vionekanavyo
U zaidi ya maneno

Wewe ndiwe baba yangu ee (Baba ee)
Wewe ndiwe baba yangu ee (Baba ee)
Alpha Omega ee (Alpha Omega)
Alpha Omega (Mwanzo na mwisho)

Wewe ndiwe Mungu wangu ee (Baba ee)
Wewe ndiwe maficho yangu ee (Baba ee)
Alpha Omega ee (Alpha Omega)
Alpha Omega (Mwanzo na mwisho)
Wewe ndiwe baba yangu ee

Ulifanya njia pasipo na njia
Adui zangu walipofuata nyuma
Mawimbi yakawaangamiza

Hujawahi niacha
Wala kunipungukia wee
Unapigana na wanaopigana nami
Unashindana na wanao shindana nami

Umenifanya punde kidogo
Kuliko ukuu wako
Umenivika na taji ya heshima
Na mamlaka yote na uzima

Umenifanya punde kidogo
Kuliko ukuu wako
Umenivika na taji ya heshima
Na mamlaka yote na uzima

Wewe ndiwe baba yangu ee (Baba ee)
Wewe ndiwe baba yangu ee (Baba ee)
Alpha Omega ee (Alpha Omega)
Alpha Omega (Mwanzo na mwisho)

Wewe ndiwe nguvu yangu ee (Baba ee)
Provider protector yangu ee (Baba ee)
Alpha Omega ee (Alpha Omega)
Alpha Omega (Mwanzo na mwisho)
Wewe ndiwe baba yangu ee

Wewe ndiwe mwamba yangu ee (Baba ee)
Wewe ndiwe nguvu yangu ee (Baba ee)
Alpha Omega ee (Alpha Omega)
Alpha Omega (Mwanzo na mwisho)
Wewe ndiwe baba yangu ee (Baba ee)

Watch Video

About Baba

Album : The Message (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Gripa Music
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 04 , 2021

More lyrics from The Message album

More GRIPA MUSIC Lyrics

GRIPA MUSIC
GRIPA MUSIC
GRIPA MUSIC
GRIPA MUSIC

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl