Yupo Lyrics by EVE NYASHA NGOLOMA


Wayahudi, wakiwaziwa mambo mabaya na Wamisri? (Alikuwepo)
Na Yusufu, wakimuuza ndugu zake kwa Waishmaeli? (Alikuwepo)
Kaka wewe, ilipobidi jukumu kujitwika baada ya baba kutoroka?
Na dada wewe, ulipoteseka, maswali chungu nzima, alikuwepo!

Yupo Yupo
Yupo Yupo
Yupo Yupo
Yupo Yupo

Ukishahidiwa mambo mabaya dhidi yako? (Alikuwepo)
Ukifurushwa 'toka kwenye ndoa na mme wako? (Alikuwepo)
Mtoto wewe, ulipokua tangatanga tena omba omba, wazazi bado wapo
Na mama wewe, ukidharauliwa na kusemwasemwa, alikuwepo!

Yupo Yupo
Yupo Yupo
Yupo Yupo
Yupo Yupo

"Siogope, mimi nipo pamoja na wewe,
Sifadhaike, mimi ndiye Mungu wako.
Nitakuimarisha na kukusaidia,
Siogope, siogope, mimi Mungu nipo"

Yupo Yupo
Yupo Yupo
Yupo Yupo
Yupo Yupo

Watch Video

About Yupo

Album : Yupo (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Apr 23 , 2022

More EVE NYASHA NGOLOMA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl