Katika Lyrics by ETHIC


Chinja bata, kuku askie wivu
Tembea na darkskin
Darkskin ajimade
Chinja bata, kuku askie wivu, wivu

Banger, Banger
(Motif Di Don)

Alafu mwanaume mzima Instagram na mafilter
Unadai weave ama unadai hipster
Na siko sure ata kama jo unapata picha
Vako za kimanzi Shanikwa anadai feature ah

Si shida yangu bana hainihusu
Mbona niwagawe bana na ni nusu
Hii kikosi mbaya sana 
Hatupendi hasara afadhali tukafungwe na mahabusu ah

Nimeanza sijamaliza 
Fuaka pekee ndo mwangaza hapa kwa giza ah
Una swali sawa uliza
Kosa kubwa ni sidhani kama nitaskiza

Combination yaani Khali Motif bakize
Yaani burry body staminate
Ukitaka feature inadepend
Na mi sitakuficha imepanda bei

Cheki one time no, mi hudai more
Mi hudai biggy na si BIG G
Yaani haga jo, mataoo 
Na naitaka tukikatika aaah

Ati taka tukikatika aah
Taka tukikatika aah
Taka tukikatika aah
Taka tukikatika aah

Wacha urasta msupa uoshe vyombo
Geuza kiuno kwanza nikupe riba
Riba zaka na kiombitho
Mbitho za wa, wangwana

Nilipata nguna akaniita Kimondio
Sikufika Ronga ju niko dogogio
Kiasi kiasi compe nikapata nango
Wango akanirushia murambe kwa mbosho

Cheki one time no, mi hudai more
Mi hudai biggy na si BIG G
Yaani haga jo, mataoo 
Na naitaka tukikatika aaah

Taka tukikatika aah
Taka tukikatika aah
Taka tukikatika aah
Taka tukikatika aah

[Khaligraph Jones]
Najua mbogi flani Eastlando makurutu waporaji
Breko huwa nduku na Konyagi (Iyee)
Na wakipiga nusu wako maji
Na wakipiga looku wako kazi
Watakuperemba mbosho mpaka za koti
Na ukizua watakunyanyua mpaka makofi
Hawa ni mangoki ukiwacheki kaa na makoti
Ju kama huna copy hepa ju zao ni jaba na njoti

Waliniexpell before nimade Semester
Hio time nilikuwanga arif ya kina Seska
Hobby ilikuwa ni kukula mabibi
Washa moto tupoeze na chuma baridi

Na ka rada ni safi, nawachafua ka naichapa wazi
Sitaki paparazzi ndo wasinichomee kandarasi
Napiga marashi nishike mbathi mpaka Kimathi
Tukakate maji tuvute bangi na kina Mwangi

Vako tu hizo lines ni za kuchachisha
Kusema kweli sijai guza hata shisha
Anyways nadhani nishakafunga
Na ju mi ni baba yao nazitoka kiruhmba 

Cheki one time no, mi hudai more
Mi hudai biggy na si BIG G
Yaani haga jo, mataoo 
Na naitaka tukikatika aaah

Ati taka tukikatika aah
Taka tukikatika aah
Taka tukikatika aah
Taka tukikatika aah

 

Watch Video

About Katika

Album : Big Man Bado Odinare (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Ethic Entertainment
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 12 , 2020

More lyrics from Big Man Bado Odinare album

More ETHIC Lyrics

ETHIC
ETHIC
ETHIC
ETHIC

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl