
Niangalie Lyrics
...
Niangalie Lyrics by ETHAN MUZIKI
Kuna wenye vitabu
Kuna wenye hesabu
Wengine tulibarikiwa sauti na kalamu
Ninavyojijua, huwa napenda hadi mwisho
Kwa yale machache najivunia
Moja ni kukuita wangu
Wengi walifanya nikadhani sitawahi kupenda
Ila wewe umenionyesha ninaweza kupendwa
Na wengi wakasema eti sitawahi weza kuweza
Ona vile tunaishi hii life bila pressure
Kama unataka penzi isoloisha
Niangalie Niangalie
Me ninapo kuona
Naona maisha
Niangalie, Niangalie
Nia Nia
Nia Nia
Niangalie, niangalie
Nia Nia
Nia Nia
Niangalie, niangalie
We wathamani kuliko shaba
Ningetamani nikuite lover
Hakuna jambo linanloweza kunitenganisha na penzi lako
Unachotaka umekipata
Utapokwenda nitakufwata
I will always be yours
You will always be mine
Till the end of time
Na-aah
Nakupenda
Na-aah
Nakupenda
Kama unataka penzi isoloisha
Niangalie
Me ninapo kuona
Naona maisha
Niangalie, Niangalie
Nia Nia
Nia Nia
Niangalie, niangalie
Nia Nia
Nia Nia
Niangalie, niangalie
Watch Video
About Niangalie
More ETHAN MUZIKI Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl