...

Niangalie Lyrics by ETHAN MUZIKI


Kuna wenye vitabu

Kuna wenye hesabu

Wengine tulibarikiwa sauti na kalamu

Ninavyojijua, huwa napenda hadi mwisho

Kwa yale machache najivunia

Moja ni kukuita wangu

Wengi walifanya nikadhani sitawahi kupenda

Ila wewe umenionyesha ninaweza kupendwa

Na wengi wakasema eti sitawahi weza kuweza

Ona vile tunaishi hii life bila pressure

Kama unataka penzi isoloisha

Niangalie Niangalie

Me ninapo kuona

Naona maisha

Niangalie, Niangalie

Nia Nia

Nia Nia

Niangalie, niangalie

Nia Nia

Nia Nia

Niangalie, niangalie

We wathamani kuliko shaba

Ningetamani nikuite lover

Hakuna jambo linanloweza kunitenganisha na penzi lako

Unachotaka umekipata

Utapokwenda nitakufwata

I will always be yours

You will always be mine

Till the end of time

Na-aah

Nakupenda

Na-aah

Nakupenda

Kama unataka penzi isoloisha

Niangalie

Me ninapo kuona

Naona maisha

Niangalie, Niangalie

Nia Nia

Nia Nia

Niangalie, niangalie

Nia Nia

Nia Nia

Niangalie, niangalie

Watch Video

About Niangalie

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Jul 15 , 2025

More ETHAN MUZIKI Lyrics

ETHAN MUZIKI
ETHAN MUZIKI
ETHAN MUZIKI
ETHAN MUZIKI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl