ECHO Niepushe cover image

Niepushe Lyrics

Niepushe Lyrics by ECHO


Aah aah, mmmhhh, uwo uwo
Echo; mmmmhh

Dear Lord
Najua unaniona
Nangianana napambana
Huku jua lanichoma ona
Leo nahabaari fuupi, naomba niseeme naawe
Japo najua unayaona Baba weeh
Ama nilile tunda alopewa hawa, ndo linalotusabishia haya
Maana sielewi, sielewi
Nashangaa mtu anakuchukia bila sababu
Anachotaka kila siku upate tabu
Mbiombio kila siku kwa babu ona oooh

We ulisema riziki mafungu saba
Wameshindwa kungoja hadi wana kaba
Wengine wanangoja mali za Baba ona oooh
We ulisema riziki mafungu saba
Wameshindwa kungoja hadi wana kaba
Wengine wanangoja mali za Baba ona oooh

Niepushe, niepushe, niepushe
Na yawalimwengu nisijetumbukia
Niepushe, niepushe, niepushe
Na yawalimwengu nisijetumbukia

Hivi alieleta pesa nani?
Hivi pesa ndo shetani?
Au sis indo mashetani ?
Sielewi,ona
Asahivi mzazi anauwa mwanae
Kisa utajiri mengine baadae
Dunia ina mengi ila mengi yakutema tu
Sasahivi mwenye haki hana haki
Wenye haki wa milli na malaki
Wa mihogo wa kuti si bati uende wapi ?
Vifo vya leo vimekua sherehe
Ukifa wengine wanafata mchelee
Wengine watalia wengine kelele mana walitamani iwe hivyo

We ulisema riziki mafungu saba
Wameshindwa kungoja hadi wana kaba
Wengine wanangoja mali za Baba ona oooh
We ulisema riziki mafungu saba
Wameshindwa kungoja hadi wana kaba
Wengine wanangoja mali za Baba ona oooh

Niepushe, niepushe, niepushe
Na yawalimwengu nisijetumbukia
Niepushe, niepushe, niepushe
Na yawalimwengu nisijetumbukia

Yawalimweengu siyawezi mwanao yawalimwengu ooh
Aaah niepushe eehh ahaa

Watch Video

About Niepushe

Album : Niepushe (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Jun 07 , 2022

More ECHO Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl