Nati Lyrics by DOGO SILLAH


Moto umewaka tena, wa kuzima sioni
Wakuzima sioni
Si mnanijua vyema, mi ndo bingwa ulingoni
Mi ndo bingwa ulingoni

Sillah komando, Sillah toka Mwanza
Sishindani na watoto zao
Double to double, jino kwa jino
Alafu msela anawapiga bao

Wananiita Dogo Sillah kiboko yao
Nishabonyeza kidude acha ile kwao
Tena sumu kwa chakula chao
Nikila shekete mi napiga bao

Mwanzo naipeperusha
Tunaruka viwanja kama matuta iyee
Hakuna wa kunishusha 
Kabariki mwenyezi sina pupa

Tunakazana tu iyee iyee
Yaani watu hawatupati, uoo uoo
Tunakazana tu iyee iyee
Yaani hawatupati, uoo uoo

Niite fire on iron wala siogopi hasara
Njoo tutumie mtaji nikupe na zako fight
Mi ndio super gentlemen kiongozi wa mabitozi
Nayemiliki maseme kama mnabisha semeni

Niko juu zaidi ya Mr Blue
Nimebakisha kidogo tu kumfikia Chibu
Watoto wakali wanadata na mimi huamini
Wanadata na Sillah anawachezesha adudu

Adu adu, adu dunda
Cheki moyo unavyodunda

Mwanzo naipeperusha
Tunaruka viwanja kama matuta iyee
Hakuna wa kunishusha 
Kabariki mwenyezi sina pupa

Tunakazana tu iyee iyee
Yaani watu hawatupati, uoo uoo
Tunakazana tu iyee iyee
Yaani hawatupati, uoo uoo

Niko juu zaidi ya Mr Blue
Nimebakisha kidogo tu kumfikia Chibu
Watoto wakali wanadata na mimi huamini
Wanadata na Sillah anawachezesha adudu

Adu adu, adu dunda
Cheki moyo unavyodunda

Mwanzo naipeperusha
Tunaruka viwanja kama matuta iyee
Hakuna wa kunishusha 
Kabariki mwenyezi sina pupa

Tunakazana tu iyee iyee
Yaani watu hawatupati, uoo uoo
Tunakazana tu iyee iyee
Yaani hawatupati, uoo uoo

Watch Video

About Nati

Album : Nati (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 11 , 2020

More DOGO SILLAH Lyrics

DOGO SILLAH
DOGO SILLAH
DOGO SILLAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl