Samia Suluhu Lyrics by DIAMOND PLATNUMZ


Tanzania ya mama Samia, ina ng'ara ng'ara
(Tanzania ya mama Samia, ina ng'ara ng'ara)
Tanzania ya Suluhu Hassan mama, yameremeta
(Tanzania ya mama Samia, ina ng'ara ng'ara)

Ah mumemuona mama, mama e mama
Oh Rais wetu jamaa, mama e mama
Amri jeshi mkuu, mama e mama
Anayependwa na wengi, mama e mama

Ameimarisha urafiki, kimataifa
Wawekezaji sa nchini kwetu wanafika
Demokrasia siasa ya kuridhisha
Biashara ona zinauzika

Aise nampenda Samia
Uonevu hataki Samia
Mikopo elimu kaweka safi, Samia
Mashule kwa zahanati, Samia

Kapinga zile kodi zote ziso halali
Vina uhuru sasa, vyombo vya habari
Zote kesi za uonevu, kafutilia mbali
Kapunguza faini za boda boda sasa mambo shwari

Tanzania ya mama Samia, ina ng'ara ng'ara
(Tanzania ya mama Samia, ina ng'ara ng'ara)
Tanzania ya Suluhu Hassan mama, yameremeta
(Tanzania ya mama Samia, ina ng'ara ng'ara)

Ah mumemuona mama, mama e mama
Oh Rais wetu jamaa, mama e mama
Jemedari wetu, mama e mama
Mtetezi wa wanyonge, mama e mama

Iyena iyena, Iyena iyena, Iyena iyena
Rais samia number one
Iyena iyena, Iyena iyena, Iyena iyena
Rais samia number one

Ooo Iyena iyena, Iyena iyena, Iyena iyena
Suluhu Hassan  number one
Iyena iyena, oh Samia mama
Iyena iyena, Super woman
Iyena iyena, Rais Samia nambari one

Ah mumemuona mama, mama e mama
Oh Rais wetu jamaa, mama e mama
Eh mwanamke wa shoka, mama e mama
Oh mchapa kazi, mama e mama

(Ayolizer)

Amechukua, ameweka, waah
Eh Vituo vya afya
Amechukua, ameweka, waah
Fly over ndege mpya
Amechukua, ameweka, waah
Barabara vijijini
Amechukua, ameweka, waah

Shangwe na vigeregere na vigeregere na vigeregere
(Shangwe na vigeregere na vigeregere na vigeregere)
Tanzania na isonge mbele, na isonge mbele
(Tanzania na isonge mbele, na isonge mbele)

Shangwe na vigeregere na vigeregere na vigeregere
(Shangwe na vigeregere na vigeregere na vigeregere)
Tanzania na isonge mbele, na isonge mbele
(Tanzania na isonge mbele, na isonge mbele)

Na kazi, iendele, kazi iendelee
Twende pamoja, na kazi iendelee
Pamoja, na kazi iendelee
Na kazi iendelee

Madaktari, na kazi iendelee
Wamachinga, na kazi iendelee
Na boda boda, na kazi iendelee
Walimu yo

(Platnumz)

Watch Video

About Samia Suluhu

Album : Samia Suluhu (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 WCB/Warner Music
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 25 , 2021

More DIAMOND PLATNUMZ Lyrics

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl