Litakufa Jitu Lyrics by DJ SEVEN


Hello World, Its Dj Seven Worldwide
Countryboy, the father, Bonga!

Eyoo warrup Khaligraph huku ni mazishi
Watoto wanaitaka crown huku ni mtiti
Si unaona wahuni tuko live maisha na mziki
Ukiona tuna -- sio gangwe ni kijiti au vipi
Tulianza kama utani Seven, ngwengwe walikuwa hawataki
Litakufa jitu baba waende wakanishtaki
Sisikii siwaoni sura wameziweka wapi?
We kunja dada zako nawala kama mshikaki

Goma la masela sema yoh yoh
Nina watoto wakali sema yoh yoh
Watoto kama wa masha wako loyal
Ile woiyoo, woiyoo yoyoo

Litakufa jitu! (Sukari kwa presha) 
Litakufa jitu! (Sukari kwa presha) 
Litakufa jitu! (Sukari kwa presha) 
Litakufa jitu! (Sukari kwa presha) 

Yoh, likifa tunalizika, hatulazagi damu
Leo patachimbika, mitungo zam zam
Bongo pass weed men I wanna get higher
Walosema kawaida wanaona haya
Pause I got money power, in my bank accounts
Nyingine nazigawa, I don't know amount

Cheza nayo, cheza ni sumu kacheze ukuti
Eeeh eh eh, kacheze ukuti
Ukiona hapa gumu nina chupa la parachuti
Eeeh eh eh, parachuti

Goma la masela sema yoh yoh
Nina watoto wakali sema yoh yoh
Watoto kama wa masha wako loyal
Ile woiyoo, woiyoo yoyoo

Litakufa jitu! (Sukari kwa presha) 
Litakufa jitu! (Sukari kwa presha) 
Litakufa jitu! (Sukari kwa presha) 
Litakufa jitu! (Sukari kwa presha)

We bado uko plan A, mi niko AB mpaka Z
Kubonga bonga sana hizo mambo sifagilii
Kumbe unawaza utoke mgonge nanilii
Mwenzako naewaza MTV na BET
Si unaona siku hizi mchizi navyo waka waka
Nawaleta chini hoi nyaka nyaka
Siwaachii kila track nawabaka baka
You know I be killing them muthafucker

Goma la masela sema yoh yoh
Nina watoto wakali sema yoh yoh
Watoto kama wa masha wako loyal
Ile woiyoo, woiyoo yoyoo

Litakufa jitu! (Sukari kwa presha) 
Litakufa jitu! (Sukari kwa presha) 
Litakufa jitu! (Sukari kwa presha) 
Litakufa jitu! (Sukari kwa presha)

We got money, we got power
We got everything, we got the world

Oh My God its Better Sound

Watch Video

About Litakufa Jitu

Album : Litakufa Jitu (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Konde Gang.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 20 , 2020

More DJ SEVEN Lyrics

DJ SEVEN
DJ SEVEN
DJ SEVEN
DJ SEVEN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl