Kwanini Lyrics by DIAMOND PLATNUMZ


Ah! Usinione nalia
Moyoni naumia
Kila siku maugomvi, unanukia mabia
Ina maana unataka usema
Huu moyo wangu hatambui
Thamani ya mapenzi
Ndo imegeuka kuwa uadui

Nikakuimbia nyimbo bado
Nkakupa moyo bado
Nikakupa life, na true love
Ila baby bado
Nikakuimbia nyimbo bado
Nkakupa moyo bado
Nikakupa life, na true love
Ila baby bado

Ukose raha
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe

Nishachoshwa na haya mapenzi
Visa mara mia kwa mwezi
Mara leo limekwisha hili
Kesho kutwa tena ghafla limezuka tena jingine
Choshwa na haya mapenzi
Visa mara mia kwa mwezi
Leo limekwisha hili, kesho lingine eh!
You just don't know
Naumia umia umia umia umia
Eeeh ah!
You don't know
Naumia umia umia umia umia
Hiiiii...

Ukose raha
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe

Watch Video

About Kwanini

Album : Diamond Singles (Album)
Release Year : 2014
Copyright : (c)2014
Added By : Trendy Sushi
Published : Feb 03 , 2020

More DIAMOND PLATNUMZ Lyrics

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl