Najua Lyrics by DAVID WONDER


Baraka zako
Kweli me nimejionea
Na mkono wako
Kutwa kucha umeninyoshea
Mimi ni wako
Tena mimi sitapotea
Na neno lako
Moyoni nimejiwekea
Wakati me sikuwa na kitu Baba (ulinishikilia)
Wakati me sikuwa na kitu Baba

Ndio me nataka nikilala (nakuona tu Baba)
Eeehh na nikiamka (nakuona tu Baba)
Na me nataka nikitembea (nakuona tu Baba)
Eeehh na nikiongea
Kwani najua (najua)
Najua (najua)
Umenishika kwenye mikono (mikono ooh)
Najua (najua)
Najua (najua)
Umenishika mimi ni wako (ni wako ooh)
Ni wako ooooooh

Oh Yesu
Usinitoe kwenye yako mipango
Bila wewe sina mwisho na mwanzo ooh
Ona, ona aah
Siwezi tena kujificha
Kwangu ndio unabisha
Nakukaribisha ooh
Na me nataka nikiomba (nakuona tu Baba)
Na nikiimba (nakuona tu Baba)
Eeh na nikiwa nawe Daddy (nakuona tu Baba)
Uwe pamoja nami oohh oohh
Kwani najua (najua)
Najua (najua)
Umenishika kwenye mikono (mikono ooh)
Najua (najua)
Najua (najua)
Umenishika mimi ni wako (ni wako ooh)

Ooooh weeh
Ooooh weeh
Ooooh weeh
Ooooh weeh
Ooooh weeh
Ooooh weeh
Oooh najuaaaaaaa
Najuaaaa
Ooooh weeh

Watch Video

About Najua

Album : Najua (Single)
Release Year : 2020
Added By : Farida
Published : Jul 31 , 2020

More DAVID WONDER Lyrics

DAVID WONDER
DAVID WONDER
DAVID WONDER
DAVID WONDER

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl