DATTY TZ Uboya cover image

Uboya Lyrics

Uboya Lyrics by DATTY TZ


Uuuuhhhhh
Aaahhhhhh
Kazuu Vibe

Eti simu zangu huzioni
Inamaana umefumbaa macho
Masikio usikii uonii
Sawa unanidharau sana darling
Mbona unapitiliza unapiga
Bila kujali yangu halii
Eti umehamia kabisa
Ata uso wangu nauficha mambo gani
Yakufichuana ficha moyo wangu uhhuuu
Mzaha mzaha imekuwa share
Shemu shemu imekuwa fine asijali
Yatakuwa sawa rafiki yangu uuuhh

Uo uboya kakudanganya atakuoa ah wapi
Uo uboya bora ungeniuliza mimi namjua
Muongo uyo uo uboya
Kakudanganya atakuoa ah wapi
Uo uboya Sitaki kuamini mimi no!no!no!
Urafiki gani wa uongo ngo

Merry upo wapi mama alichonitenda hawa
Siungwana bhana,Kumbe zile out zilimtoa roho
Mbona sikumtenga twaenda nae show
Kumbe moyo moyo anasema ngoja ngojaa
Nakuta status kampost Nicco
Nikasema niende nawakuta woote
Niulize nikafukuzwa toka tokaa
Eti umehamia kabisa
Ata uso wangu nauficha mambo gani
Yakufichuana ficha moyo wangu
Mzaha mzaha imekuwa share
Shemu shemu imekuwa fine asijali
Yatakuwa sawa rafiki yangu uuuhh

Uo uboya kakudanganya atakuoa ah wapi
Uo uboya bora ungeniuliza mimi namjua
Muongo uyo uo uboya
Kakudanganya atakuoa ah wapi
Uo uboya Sitaki kuamini mimi no!no!no!
Urafiki gani wa uongo ngo
Sitaki kuamini mimi no!no!no!
Urafiki gani eheeheeheee

Watch Video

About Uboya

Album : Uboya (Single)
Release Year : 2022
Copyright : ©2022 Chamazi Music Records.All rights reserved.
Added By : Farida
Published : Apr 05 , 2022

More DATTY TZ Lyrics

DATTY TZ
DATTY TZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl