Naogopa Lyrics by DATTY TZ


Mhhh yeiyeee

Walionipa maumivu ya mapenzi,Sio wa kwanza baba
Hawakujali kabisa mateso kuniliza ahaa
Nikawa usingizi nakosa kabisa usiku silali
Mapenzi ya dhati yakanitesa
Furaha ya mapenzi shubiri

Usiniweke kwenye maumivu yako
Ukanichanganya mama
Mimi najali sana mapendo yako
Nimeshazama mamaaa Usidhani na mii
Ukanifananishe na waleee
Minakaupenda moyoni baby,Naomba unielewe
Pendo lako la thamani kwangu
Nalitunza kama mboni ya jicho langu
Mimi mwenzako nakupenda sana
Japo na wivu kwako mimi pungu
Oohhhhh oohh baby uuhhh laalala

Minaogopa sana minaogopa baba
Minaogopa sana mapenzi hayana dhamana
Usiogope mama minakupenda sana
Maumivu yale ya nyuma
Mapendo yapo kwa mtima

Mhhh mhhhhhh Ey kwanza nitatunza siri zako
Japokuwa huniamini toka moyoni
Mhh kwako bado nipo chini yako
Niko radhi nitangaze hadharani  
Unanipa maeneno mazuri,Ila wengi mnafanana
Kwa kivipi minitakuamini kweli unanipenda sana
Nimeshakuweka kwenye maumivu yangu
Nimeshalizwa sana Wengi walitesa hisia zangu
Walinichanganya sana

Na usidhani na mii
Ukanifananishe na waleee
Minakaupenda moyoni baby
Naomba unielewe
Pendo lako la thamani kwangu
Nalitunza kama mboni ya jicho langu
Mimi mwenzako nakupenda sana
Japo na wivu kwako mimi pungu
Oohhhhh oohh baby uuhhh laalala

Minaogopa sana minaogopa baba
Minaogopa sana mapenzi hayana dhamana
Usiogope mama minakupenda sana
Maumivu yale ya nyuma
Mapendo yapo kwa mtima

Watch Video

About Naogopa

Album : Naogopa (Single)
Release Year : 2022
Added By : Aisha Salum
Published : Apr 06 , 2022

More DATTY TZ Lyrics

DATTY TZ
DATTY TZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl