...

Tulia na Mimi Lyrics by DARASSA


Watu wakikunyima sifa mi ntakusifia

Kaa nishafuta kiti chako malikia

Huna mpinzani nani wakushindania

Number one penzi limeshikili babe

Jimwage jimwage kama nilivyokuambia

Nikupande pande na kushuka kila njia

Ukitaka kumbatia ukitaka simamia

Ruka tiktaka ukitaka ning’inia babe eeeeehh

Watabamba uwanjani tamba tamba uwamjani tamba

Anajua mashetani yangu yakipanda uwa sivunji chaga navunja vunja kitanda

Penzi langu kama mawingu tanda tanda angani nime tanda

Wengine wanasema nisafiri tanga eti nimerogwa niende nikapate mganga

Watabaùba uwanjani tamba babe tamba oooh

Mi ata sijui nifanye nini

We tulia na mimii

We tulia na mimii

We tulia na mimii

Usije ukanipiga chini

We tulia na mimii

We tulia na mimii

We tulia na mimii

Na kwako sijiwezi

Siwezi hata kubisha

Yameshakuwa mapenzi

Yako mapenzi yana miujiza

Mechi mbaya sichezi

Yangu number tisa

Magoli kama messi

Iwe penalty au magoli ya kichwa

Tahadhari tu nishajifunza mpaka kung fu akitokea

Mwizi nampa mguu huyu babe wangu mimi tu

Tahadhari tu kama ni ngoma ni mchiriku masongombingo

Chumbani isuku na akinipa hanipi kiduchu chu chu chu

Mi ata sijui nifanye nini

We tulia na mimii

We tulia na mimii

We tulia na mimii

Usije ukanipiga chini

We tulia na mimii

We tulia na mimii

We tulia na mimii

Watabamba uwanjani tamba tamba uwamjani tamba

Anajua mashetani yangu yakipanda uwa sivunji chaga navunja vunja kitanda

Watch Video

About Tulia na Mimi

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright : (c) 2025 exclusively licensed under CMG.
Added By : Farida
Published : Jul 16 , 2025

More DARASSA Lyrics

DARASSA
DARASSA
DARASSA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl