D LOVE Nitavumilia  cover image

Nitavumilia Lyrics

Nitavumilia Lyrics by D LOVE


Yaliniumiza nikajitia kusahau nikapenda tena
Yakaniliza tena na bado napenda
Stress za kufululiza
Nilivyo dhaifu sijui ata kusema sema 
Nashukuru Mungu nahema na leo nimependa

Ndio yalivyo mapenzi
Hata huyu mpya niliye naye ananitesa
Ananikondesha,ananiendesha
Kumuacha siwezi, maana ndo moyo nilipouegesha
Mvua zikinyesha, ananiponyesha

Kwenye baridi napoa
Nitavumilia tena nishatangaza ndoa
Nitavumilia maana mababy nimepoa
Nitavumilia kutangatanga
Sio poa nitavumilia tantalala

Kanilambisha asali
Kila nikiwaza kumuacha wazo lapotea 
Navua suruali
Ninatafuta na maji yakulowekea 
Penzi ndo serikali 
Naye ndo Rais siwezi kumfokea
Ila potelea mbali ninaridhishwa na mapenzi 
Anayoniwekea

Nikinuna nalishwaga msatusatu
Sikumbuki nilishafunga chata
Tukishibaga kinachofata 
Utelezi kwa makamaka

Ndo yalivyo mapenzi
Hata huyu mpya niliye naye ananitesa
Ananikondesha, ananiendesha

Kumuacha siwezi
Maana ndo moyo nilipo uwegesha
Mvua zikinyesha,ananiponyesha

Kwenye baridi napoa
Nitavumilia tena nishatangaza ndoa
Nitavumilia maana mababy nimepoa
Nitavumilia kutanga tanga
Sio poa aah! nitavumilia tatalala

Watch Video

About Nitavumilia

Album : Nitavumilia (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 20 , 2021

More D LOVE Lyrics

D LOVE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl