D LOVE Nakesha  cover image

Nakesha Lyrics

Nakesha Lyrics by D LOVE


Moyo umekua sugu hadi maumivu yanadunda
Siogopi waongo sipokei 
Wakweli mapenzi yamenifunza
Tamu imekua chungu moyo ulifanywa punda
Hadi mizigo ya kokoto 
Ikanichosha mwili machozi nikafuta

Sio kama siogopi kuumia tatizo nishaumia sana
Mapenzi ya maharamia nikachukia ujana
Kuna muda nawaza rudia tatizo nikipenda sana
Ndo nafasi wanaitumia kuniumiza mchana

Na usiku usingizi sipati, nakesha
Usiku nalia bahati sina (Nakesha)
Bora pombe mapenzi sitaki (Nakesha)
Ya nini kuumia bora nile dawa (Nakesha)

Kila napotarajia nitafurahia 
Ndo nazisisha 
Maumivu kwa ndani mwili umekufa ganzi
Kila pendo naloingia 
Yanajirudia kunikatisha 
Nikatisha tamaa mnyonge mwana simanzi

Kama ningeliweza kuchagua
Utotoni ningeamua
Bora hata nisingeyajua
Yataniua mapenzi

Sio kama siogopi kuumia tatizo nishaumia sana
Mapenzi ya maharamia nikachukia ujana
Kuna muda nawaza rudia tatizo nikipenda sana
Ndo nafasi wanaitumia kuniumiza mchana

Na usiku usingizi sipati (Nakesha)
Usiku nalia ah, bahati sina (Nakesha)
Bora pombe mapenzi sitaki (Nakesha)
Ya nini kuumia bora nile dawa (Nakesha)

Mapenzi sitaki (Nakesha)
nakesha...

Watch Video

About Nakesha

Album : Nakesha (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 20 , 2021

More D LOVE Lyrics

D LOVE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl