Natubu Lyrics by CHIDI BEENZ


Mola nipende usije nichukia
Najua mi ni mzembe mengi napuuzia
Usiniache niende siko nzuri njia
Juhudi nije kwako goti kukupigia

Najua hunisahau bado upo nami
I believe that hata napokuwa njiani
Mengi unasafisha na kunitoa gizani
Huwa sipendi kukosea namshutumu shetani

Kipi nifanye ili nilinge
Nikudharau, nani mwingine anilinde?
Natubu sasa sitaki kuja sema ninge
Mi ni mja wako usinitupe unilinde

Maana mi nina issue, issue tu, issue tu
Miezi nane sijaswali lakini leo inabidi tu
Nani anaiongopea dira yake ipotee
Niwezeshe nimwone ili nimkembe

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi Baba

Mi sio tajiri sio low class
Nipo kati nitakacho naweza pata naweza kosa
Mwenye kuchacha dhawabu
Wingi wa makosa mi naamini 
Sifa ndo sometimes zanipoteza
Nawaza siku ya mwisho, nina mengi ya kutubu
Nipunguzie mi japo nisije kuwa bubu

Niokoe niweze kukumbusha hata Ayubu
Mali yangu Paulo -- na ya bubu
Najua natembea ila zote nguvu zako
Najua naongea ila yote maneno yako
Napochanganya -- huwa shetani ananimix
Lakini - nguvu zako sitompa wa urahisi

Usiniache nipotee, mwovu niendelee
Mi si kitu mbele yako hata ndotoni unikemee
Nisipoteze dira nionyeshe njia mapema
Nisafishe niwe kama niliyezaliwa tena

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi Baba

Eeeh Mola dunia hii inakwisha
Tunauana kwa upumbavu na visa
Tamaa za madaraka kugombania nyadhifa
Swala kushangaa kuona damu inamwagika

Magonjwa yanazidi, maisha yanabana
Vifo vya mapema kwa watoto na vijana
Ndio kutusamehe umeshatusamehe sana
Na una zaidi ya hasira na hizi ni kama laana

Lakini bado tunataka rudi kwako sisi
Ingawa najua itakuwa sio rahisi
Tupunguzie japo haya mabalaa
Shetani katuzunguka ukimkimbiza anakataa
We ni zaidi ya yote muumba wa dunia 
Wanadamu twendeni wote kumsujudia
Tumwombe atusamehe haya, asamehe madhambi yetu
Asitoke aendelee kuwa ndani ya mioyo yetu

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi Baba

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi Baba

Watch Video

About Natubu

Album : Natubu (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 23 , 2019

More CHIDI BEENZ Lyrics

CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl