CARLIE BRONZE Kama Kawa  cover image

Kama Kawa Lyrics

Kama Kawa Lyrics by CARLIE BRONZE


Ah! sawa ah 
Tunapenda tusipo hitajika
Sawaa nimekubari me kolo eh!
Ah kama kawa bado anavunga
Hata nikimchatisha

Sawaa si anafanya anikomoe
Ah! nami sielewi 
Siwezi kumkaushia aniache
ohh! sielewi 
Sitoacha kumchalazia sitomeza mate

Sa nimitende vipi?
Japo ananikanyagia haina noma mwake 
Kwa misele mingi sitoacha kumuibukia
Daily kwake ni kama kawa

Asipo jibu message nitampigia
Hata kama ata akiniona nitamkimbia
Kama kawa! Nitapona endapo nitamsikia 
Kama kawa! Sitachoka me japo ohh! naumia

Ah! nami sitoona jau
Ye muacheni anichunie
Napanda dau nitafanya anifikilie eehh! eeh!
Huenda ananidharau 
Kaona mwenzangu na mimi

Penzi la zambarau peupe asiwachafulie
Nitampenda mpaka basi
Kama atanipa nafasi 
Maana mabaya, mapenzi mabaya ah!

Me moyo wangu takasi 
Siwezi wekeza visasi
Wana roho mbaya
Mi sina roho mbaya

Nami sielewi 
Siwezi kumkaushia aniache
Ohh! sielewi 
Sitoacha kumchalazia sitomeza mate

Sa nimitende vipi?
Japo ananikanyagia haina noma mwake 
Kwa misele mingi sitoacha kumuibukia
Daily kwake ni kama kawa

Asipo jibu message nitampigia
Hata kama ata akiniona nitamkimbia
Kama kawa! Nitapona endapo nitamsikia 
Kama kawa! Sitachoka mi japo ohh! naumia

Watch Video

About Kama Kawa

Album : Kama Kawa (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 02 , 2021

More CARLIE BRONZE Lyrics

CARLIE BRONZE
CARLIE BRONZE
CARLIE BRONZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl