Nisawa Lyrics by BONGA DE ALPHA


Sina hamu, toka undoke nakonda mwenziyo
Sina damu, yani nusu ni zikwe
Wangu wa utamu
Wame mteka mchana na mwonaa
Hata kwa damu nitaroga achike
Maana moyo wangu kautia doa
Jike yemwenyewe aah
Yee kaona poaa nidharirike
Kwenye dimbwi refu nani ataniokoa
Nazama mwenyewe hee
Kama nliboa nibadilike
Yani usingizi sipati mwenzenu
Mpaka ninywe vidonge
Yani naumia sitaki mwenzenu
Kasha jua mi mnyonge
Kanifungia mabati
Japo badoninadonge
Naona mapicha picha
Waki twitter ooh
Okey sawa umeniumiza
Nisawa (nisawa)
Na furaha umenikatiza
Sawa eeh (ni sawa sawa eeh)
Kama vipi namba yangu futa
Sawa (nisawa)
Migari vipi bila mafuta (nisawa)
Magari vipi bila mafuta
(Ni sawa , nisawa sawa)

Tena mpeni jabari, yale maradhi alioniachiaa
Sijapona bado
Sijapona bado
Tena ya sasa hatari, nikimuwaza tu na zimia
Sijapona bado  miee
Sijapona bado
Nilijisahurisha, nifute picha
Wende nsikone nitajirizisha
Mama ni vita, kama sio insta
Hata snapchat, nikipita pita
Fanya unione, sina furaha hata tone
Nahitaji usingizi, sindano unichome
Kaa nguo unishone nlipo chanika
Niwe sawa
Maana usingizi sipati mwenzenu
Mpaka ninywe vidonge
Yani naumia sitaki mwenzenu
Kasha jua mi mnyonge
Kanifungia mabati
Japo badoninadonge
Naona mapicha picha
Waki twitter ooh
Okey sawa umeniumiza
Nisawa (nisawa)
Na furaha umenikatiza
Sawa eeh (ni sawa sawa eeh)
Kama vipi namba yangu futa
Sawa (nisawa)
Migari vipi bila mafuta (nisawa)
(Ni sawa , nisawa sawa)

Watch Video

About Nisawa

Album : Nisawa (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Apr 14 , 2021

More BONGA DE ALPHA Lyrics

BONGA DE ALPHA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl