MARTHA MWAIPAJA Nifundishe Kunyamaza cover image

Nifundishe Kunyamaza Lyrics

Nifundishe Kunyamaza Lyrics by MARTHA MWAIPAJA


Nifundishe kunyamaza 
Nifundishe kunyamaza 
Nisijejibu nikakukosea Mungu uu

Nifundishe kunyamaza 
Nifundishe kunyamaza 
Nisijejibu nikakukosea Mungu uu 

We ewe Baba, wewe ni mwalimu mwema
We ewe Mungu wewe ni mwalimu mwema
Niko darasani kwako Masia 
Baba naomba nifundishe kunyamaza

Niko katika kipindi hiki 
Bwana naomba nifundishe kunyamaza
Natamani kunyamaza ah 
Lakini si rahisi, nifundishe kunyamaza

Natamani kunyamaza Masia 
Naomba nifundishe kunyamaza

Yapo mengi mambo yanayoweza 
Fanya niseme
Yapo mazingira yanayoweza 
Fanya nijibu nikakosea

Kwa maisha tunayoishi 
Naomba nifundishe kunyamaza
Kwa ninayoyasikia kila siku 
Bwana nifundishe kunyamaza

Kwa ninayoyaona kila siku 
Eh Baba nifundishe kunyamaza

Mmmh mmmh wapo wanaoweza fanya 
Nipambane eeh, nipambane
Yapo yanayoweza fanya 
Nishindane eeh, nishindane

Bila neema ya kunyamaza 
Naweza jikuta ninajibu vibaya
Bila neema ya kunyamaza 
Naweza jikuta ninasema vibaya

Wee Yesu wewe 
Naomba nifundishe kunyamaza
Wee Baba wewe 
Naomba nifundishe kunyamaza 

Kwa macho nimeona mengi 
Naomba nifundishe kunyamaza
Kwa vinywa nimenenewa mengi 
Naomba nifundishe kunyamaza

Kwa masikio nimesikia mengi 
Bwana nifundishe kunyamaza  

Oh nifundishe kunyamaza 
Nifundishe kunyamaza 
Nisijejibu nikakukosea Mungu uu 

Nifundishe kunyamaza 
Nifundishe kunyamaza 
Nisijejibu nikakukosea Mungu uu

Eeh Baba nisaidie Baba 
Ewe Mungu nisaidie Mungu

Ninatamana sana nijilinde 
Nisije kukukosea
Ninachotaka nijilinde 
Nisije kukupoteza

Watu wanaweza taka nipambane 
Nikukose mwokozi 
Wengi wanataka nipambane 
Nikukose mwokozi 

Kwa mazingira ninavyoyaona
Naweza pambana nikukosee
Kwa mwanadamu kunyamaza ni ujinga
Ninacholinda nisikukosee

Japo nitaonekana mpumbavu
Acha vyote vipite, nisikukosee
Japo yananichoma mpaka ndani ya moyo
Acha yapite, nisikukosee

Naweza pambana na wanadamu
Kumbe nikawa ninakupoteza Bwana
Naweza pambana na mwanadamu
Kumbe nikawa nakukosa Messiah

Naweza shindana na mtu
Kumbe nikawa nakukosa Messiah

Acha kwa watu niwe mjinga 
Kwako niinuliwe
Acha kwa watu niwe mpumbavu sana
Kwako niwe shujaa

Acha kwa watu niwe kama mjinga
Kwako niwe mwenye hekima

Lakini sitaweza kunyamza
Bila kunifundisha
Maana kama mwanadamu inaniuma
Lakini mi naomba nifundishe

Maana kama mwanadamu inanitesa
Lakini mi naomba nifundishe kunyamaza

Bila kufundishwa nawe
Naweza nikapambana
Na katika kupambana kwangu
Nikakuta nakukosea

Nakuomba Baba, nakuomba
Nisaidie ninyamaze
Nakuomba Baba, nakuomba
Nisaidie ninyamaze

Hata wakiniona ni mjinga
Acha vyote nisikukosee
Japo wataniona ni mjinga
Kumbe ninalinda nisikukosee

Watch Video

About Nifundishe Kunyamaza

Album : Nifundishe Kunyamaza
Release Year : 2017
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 24 , 2020

More MARTHA MWAIPAJA Lyrics

MARTHA MWAIPAJA
MARTHA MWAIPAJA
MARTHA MWAIPAJA
MARTHA MWAIPAJA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl