Furaha Lyrics by BARAKAH THE PRINCE


Hmmm....aaahhh...

Furaha yangu
Bila kupitia maumivu ingesua sua sana
Maana maumivu yamefanya nijifunzee eeh
Uzuri mungu si mtoa ubaya
maumivi nilipitia na pumzi a alinipa
na mtoto wa juma si unajua
Maumivu  kupita wajibu imeandikwa

Uyee... nikiiumbuka maumivu yako ni funzo
Siwezi juta
Japo mabaya niliyoyapitia yanaumiza na nimeyasahau
Isingekua maisha huenda baby usingenitoka
Ila Mungu sio Athumani  alinipa
Mwenye nmani mvumilivu
kwa kila hali

[CHORUS]
Yaani leo (sasa ninayo furaha)
Ona furuha (sasa ninayo furaha)
Nakupenda najua (sasa nina yo furaha)
Uyeee mama sichoki kugamba (sasa ninayo furaha)
Kwa uzuri wake (sasa ninayo furaha)
iyeye hii nilie na ye ye

Kwanzo huyu wa sasa ni best
Mi nampenda Mpaka nahisi kwake crazy yeah
Na bado nyumbani ni mlezi
Ukitaka kuja ntakulipia tax
Kuna ma shampeini tuliza na woga
Ukitaka kuja mama unakaribishwa
Si tunafurahia maisha  Zawadi watoto tatu Mungu alitupa
Uyee ikiwa magumu twajipanga
Midadi sheri na raha
waga haendi kwa mgaga
Yakitukuta waga anamuomba muumba
Iye ee yeah yeah
Iye aaah am in love with you my baby
Boo nime surrender
Am crazy of you

[CHORUS]
Yaani leo (sasa ninayo furaha)
Ona furuha (sasa ninayo furaha)
Nakupenda najua (sasa nina yo furaha)
Uyeee mama sichoki kugamba (sasa ninayo furaha)
Kwa uzuri wake (sasa ninayo furaha)
iyeye hii nilie na ye ye

 

 

Watch Video

About Furaha

Album : Furaha (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Nov 03 , 2018

More BARAKAH THE PRINCE Lyrics

BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl