Sawa Lyrics by BARAKAH THE PRINCE


Mmmh...mmmh mmm aah aah.
Ooh aah..

(It's D Classic)

Hello vipi hali yako?
Maana mi kwangu si shwari
Mawazo mengi ju yako

Mmmh hello vipi huyu mwenzako?
Bado mi kwangu sing'ari
Sijampata mwenzako

Na upe amani moyo wangu
Kwa hayo majaribu tu
Kula mbivu yahitaji uvumilivu
Bila ya kuchoka mama

Maana malengo yangu
Sikuwaza watanipiku
Ooh wezangu, vigogo wa mjini
Wanaojiita vipopa, ooh mama

Maana bado sipo (Sawa sawa)
Aaah, sawa!
Akili haipo, sawa! 
Mwili haupo, sawa!

Uchovu muda wote
Bado sipo  (Sawa sawa)
Oooh mimi, sawa!
Mi mwenzako, sawa! 

Maumivu sana hapo ndani
Na moyo ndo unaokabiliana
Mapenzi yataka ujasiri 
Kwa kiini lakini si shilia

Ooh maana hata chakula hakipiti
Mawazo juu yako 
Yanakabili moyo wangu tu
Oooh mapenzi kila siku nang'ang'ania

Ungeniweka tumaini na utu kwako
Na sikujua kama si mrengo wako
Muda wangu kutumia tu 
Huwezi hata jutia

Tena tatizo pendo bado lipo kwako
Utafurukuta ila mwisho wangu kwako
Mi nabaki vumilia tu
Kusubiri uwe wangu

Mwenzako bado sipo (Sawa sawa)
Aaah, sawa!
Akili haipo, sawa! 
Mwili haupo, sawa!

Uchovu muda wote
Bado sipo  (Sawa sawa)
Oooh mimi, sawa!
Mi mwenzako, sawa!

Nitagonga ngongo
Mpaka mwisho kwako
Nitasubiria tu tu
Nitasubiria tu tu
Nitasubiria tu tu

Ooh maana sina chaguo
Zaidi ya wewe yako mama
Nitavumilia tu tu
Nitasubiria tu tu
Nitavumilia tu tu

Nitagonga ngongo
Mpaka mwisho kwako
Nitasubiria tu tu
Nitasubiria tu tu
Nitasubiria

Watch Video

About Sawa

Album : Sawa (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 21 , 2020

More BARAKAH THE PRINCE Lyrics

BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE
BARAKAH THE PRINCE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl