Captain Lyrics by BANDO


Ambia mitaa
Shytown boy
Ambia mitaa
Ambia mitaa situmefika
Tukichafua pilika pilika

Maongezi baada ya kazi badae kaka tuchat
Ngoma ya uswahili itambae mpaka masaki
Ukiskia ubao ijia chaki
Maana bongo hupati haki hata ukitangulia mbele za haki
Ndo yalivyo maisha ya binadam jau
Unaeza ukafa njaa siku ya msiba wako wakapika pilau
Weka mipaka isifike minyau
Maana kuna muda hata dr kumbuka anajisahau
Wananiita captain mzee wa anga
Shetani hawezi kumiliki nyumba hata kama mungu amepanga
Mapenzi ni ushamba
Dem wako unamlea kama yai kumbe kuna wahuni wanamkaanga
Tuliyopitia ndo yamejenga confidence
Maisha yenyewe hayataki hata hugompecate
Wakifunga milango tunavunja mageti
Wakiuliza nani waambie ni sisi eeh

Captain eeh
Captain mi ndo captain
Nahodha eeh
Nahodha mi ndo captain

Ambia mitaa
Ambia mitaa
Ambia mitaa situmefika
Tukichafua pilika pilika

Haya usiniletee mipango kama huna hata mia
Usinishikie mabango wee usinizibie njia
Chuki ndo kitu ambacho nachukia (nachukia)
Na ujinga namba moja nikuuza mlango ili ununue pazia
Na usile usichokilisha utaliwa
Endeleenu kubisha
Imeandikwa kila atakae bisha atafunguliwa
Namba ni pure chafu kabisa imekataliwa
Alafu hatucheki na watoto wasije kutuomba maziwa
Unaambiwa gundi huwezi gundisha kwa gundi
Ukinona mama wa kambo anakupenda ujue baba ako fundi
Wape habari chombo naiendesha mimi
Kikojozi hapati usingizi ugenini
Wananiita captain mzee wa anga
Shetani hawezi kumiliki nyumba hata kama mungu amepanga
Mapenzi ni ushamba
Dem wako unamlea kama yai kumbe kuna wahuni wanamkaanga
Tuliyopitia ndo yamejenga confidence
Maisha yenyewe hayataki hata hugompecate
Wakifunga milango tunavunja mageti
Wakiuliza nani waambie ni sisi eeh

Captain eeh
Captain mi ndo captain
Nahodha eeh
Nahodha mi ndo captain

Ambia mitaa
Ambia mitaa
Ambia mitaa situmefika
Tukichafua pilika pilika

Watch Video

About Captain

Album : Captain (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Aug 04 , 2023

More BANDO Lyrics

BANDO
BANDO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl