Mento Lyrics by BANDO


Me kwako nishafika stendi sijui ni ubungo au wapi?
Nitumie usafiri gani nije kwa ungo au basi
Eti mapenzi jela hiki kifungo cha wapi
Mbona haunipi mateso au nikifungo cha shati
Na inafahamika me nijiko we ni mpishi
Kitandani nyani full kucheza na miti
Kama nikifulia usinicheat
Mbona tushashinda njaa sembuse kushinda vishawishi

Kama dozi we kwinini (kwako ni mento)
Wanawaza tuachane lini (nimeshasettle)
Nawakata ndimi (ukiibuka geto,unawapa joto,wape na lesso)
Kwanza tuna match, wengi wana ntatalila wengi wanatantalila
Usinipige bench wengi wanatantalila wengi wana tantalila

Chakwanza unanishangaza
Pili unanikoleza ooh baby ntakuweka kwenye bango nitangaze
Vikopakopa umejaza udambwi dambwi chombeza ooh baby
Ntakumilikisha akili uitawale
Kwako mi ni (me!! Me!!mento )
Kwako mi ni (me!!me!!mento)
Kwako mi ni (me!!me!!mento)
Kwako mi nimento baby oooh

Ntaambia nini waulimwengu siku ukinipiga chini
Nitaificha wapi sura yangu hapa mjini
Kuhusu michepuko mapambano umeshawini
Usishindane na sindano mama we Bonge la pini
Nishakupa chance ,nipende mpaka basi
Mpaka wanaonidiss siku moja watu discuss
Nakupa. A Max ,ma ex sasa basi
Watanyoosha maelezo bila kutumia pasi

Kama dozi we kwinini (kwako ni mento)
Wanawaza tuachane lini (nimeshasettle)
Nawakata ndimi (ukiibuka geto,unawapa joto,wape na lesso)
Kwanza tuna match, wengi wana ntatalila wengi wanatantalila
Usinipige bench wengi wanatantalila wengi wana tantalila

Chakwanza unanishangaza
Pili unanikoleza ooh baby ntakuweka kwenye bango nitangaze
Vikopakopa umejaza udambwi dambwi chombeza ooh baby
Ntakumilikisha akili uitawale
Kwako mi ni (me!! Me!!mento )
Kwako mi ni (me!!me!!mento)
Kwako mi ni (me!!me!!mento)
Kwako mi nimento baby ooh!!

Nishazifunga mboni bebe (bebe
Nipo kwa bedi njoo ni bebe (bebe)
Mtoto kashasimama dede (dede)
Njoo Urambe corn bebe (bebe)
Na ahidi niwe nawe milele,naahidi niwe nawe milele
(shytown boy)

Watch Video

About Mento

Album : Mento (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Sep 20 , 2022

More BANDO Lyrics

BANDO
BANDO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl