Wallahi Lyrics by B CLASSIC 006


Sio sura tu
Mtoto mwendo nyatu nyatu
Fyetu fyetu pako mpaka najilaumu
Na penzi lako lishakuwata
Tena mwanga naona mbali

Nibalishe hadi motokaa
Nione kama utanikubali
Bana sio poa, siku hizi ninavimba wanakonda
Ati kisa ni mapenzi
Bana sio poa, hata wakisha wakipona

Mpaka wajinyonge huu mwaka huu
Penzi likoleze my baby boo
Najua unanipenda I love you too
Mi sina mwingine ni wewe tu

Wallahi, wallahi
Wallahi, wallahi

Mashallah Mashallah
Ulivyoumbika naona uchizi wee
Sura wowowooo
Mkumbato mwizi ndani yote una ukizi we

Mashallah Mashallah
Ulivyoumbika naona uchizi wee
Sura wowowooo
Baby oh I love you

Kwenye wangu mtima
Uko peke yako
Hivi ukiondoka, utabaki wazi
Na kwenye wangu mtima
Kuna uwepo wako
Ujue ukiondoka 
Ah nitaambia nini watu?

Wallahi, wallahi
Wallahi, wallahi

Watch Video

About Wallahi

Album : Wallahi (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 22 , 2021

More B CLASSIC 006 Lyrics

B CLASSIC 006
B CLASSIC 006
B CLASSIC 006
B CLASSIC 006

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl