Pisi Kali Lyrics by B CLASSIC 006


Pisi kali pisi kali (Aha)
Kama umeshushwa bei (Aha)
Typically typically (Aha)
Kama malaika baby

Nzi kwenye kidonda nakufa
Aii naona utamu (Nakufa)
Wanafiki wanakonda wanakufa (Kufa)
Mi naona utamu

Kama una pisi kali
Basi piga mayowe wee
Woyoo, piga moyowe 

Kama una pisi kali
Basi piga mayowe wee
Woyoo, piga moyowe 

Kama umeliwa na simba wee, pisi kali
Umetoka na Kiba wee, pisi kali
Umetembea na tembo wee, pisi kali
Umepita na Bad wee, pisi kali

Pisi kali pisi kali (Aha)
Kama umeshushwa bei (Aha)
Typically typically (Aha)
Kama malaika baby

Baby inapush nenga (Pisi kali)
Si macho matattoo  (Pisi kali)
Inajiweza sio vizinga (Pisi kali)
Upaja una matattoo

Hio Hennessy au K Vant (Pisi kali)
Akitembea anatetema (Pisi kali)
Una swala zigo elephant (Pisi kali)
Anajua kuvaa

Zile level ka za Huddah (Pisi kali)
Au Tanasha Donna (Pisi kali)
Ama Shakilla wa Insta (Pisi kali)
Ama Vera Sidika (Pisi kali)

Kama una pisi kali
Piga mayowe wee
Woyoo, piga moyowe 

Kama una pisi kali
Piga mayowe wee
Woyoo, piga moyowe 

Pisi kali pisi kali (Aha)
Kama umeshushwa bei (Aha)
Typically typically (Aha)
Kama malaika baby

Kama una pisi kali
Piga mayowe wee
Woyoo, piga moyowe 

Kama una pisi kali
Piga mayowe wee
Woyoo, piga moyowe

Watch Video

About Pisi Kali

Album : Pisi Kali (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 06 , 2021

More B CLASSIC 006 Lyrics

B CLASSIC 006
B CLASSIC 006
B CLASSIC 006
B CLASSIC 006

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl