Si Saizi Yako Lyrics by AT


Utamaliza mafusho mwenzetu kujifukiza
Tena ulitoe jacho kama vile wafukuzwa
Na nikupe taarifa mjini watu tunapeta
Tena nina wajibika kula yangu uhakika
Yaani ukijisafisha uchafu kwako ni dakika 
Hata ukikasirika ujembe lakini umefika

Mchezo unaocheza, mi nicheza zamani
Na waliokupoteza, ni walo ficha ramani
Mchezo unaocheza, mi nicheza zamani
Na waliokupoteza, ni walo ficha ramani

Oooh mimi si saizi yako 
Oooh kawaulize wenzako
Oooh mimi si saizi yako 
Oooh kawaulize wenzako

Hapo ulipo panyam nyam, panyam nyam
Hizo ulivyo, panyam nyam, panyam nyam
Hapo ulipo panyam nyam, panyam nyam
Hizo ulivyo, panyam nyam, panyam nyam

(Aaah..)

Kosa unajifanya mfukunyuku
Leo umefufkunyua kusiko
Si wanati wala vinjuruku 
Hata kwetu sio nacho haupo

Umekosa haya mwana hithaya
Wenzako ni bendi zetu huziwezi
Rudi kwenye kwaya
Sura imekupwaya kwako mambo mbaya
Kama wewe Zenji basi mi wa Tanga
Mambo moto fire

Ngoma nagwa laini nichecheme
Ushazoea kucheza masebene
Ukishindwa umumung'unye uteme
Kidaruso nakuomba unikome

Mchezo unaocheza, mi nicheza zamani
Na waliokupoteza, ni walo ficha ramani
Mchezo unaocheza, mi nicheza zamani
Na waliokupoteza, ni walo ficha ramani

Oooh mimi si saizi yako 
Oooh kawaulize wenzako
Oooh mimi si saizi yako 
Oooh kawaulize wenzako

Hapo ulipo panyam nyam, panyam nyam
Hizo ulivyo, panyam nyam, panyam nyam
Hapo ulipo panyam nyam, panyam nyam
Hizo ulivyo, panyam nyam, panyam nyam

Watch Video

About Si Saizi Yako

Album : Si Saizi Yako (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Konde Music.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jun 18 , 2021

More AT Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl