ASLAY Naenjoy cover image

Naenjoy Lyrics

Naenjoy Lyrics by ASLAY


Wa leo mimi wa leo
Wa leo sio wa jana
Aslay

Maisha ndo yale yale
Aah kuteswa ni kama funzo
Mmmh mengine tuyasamehe
Oooh tusiweke viulizo

Kikubwa uhai 
Nashukuru ninao sijakufa
Ila kuhusu mapenzi sitaki show
Nimeyakuta

Kukesha kesha mawazo mzongo
Sitaki tena kupigana pigana naogopa chongo
Sitaki tena mlemavu akichoka anipa magongo
Sitaki tena kutwa kulia lia kutapika nyongo

Mapenzi yana wenyewe
Si wengine tuwache shobo
Tutazikwa wazima wazima
Eeh eeh eeh

Bora nitulie 
Umri wangu mi bado mdogo
Nisitake ya watu wazima

Naenjoy, naenjoy mama
Naenjoy, naenjoy sana 
Naenjoy japo kuwa sina kitu
Naenjoy mama
Oooh naenjoy, naenjoy sana

Nakukumbatia mtafuna roho yake
Asikwambie mtu, mtu yeyote
Ah, jamani shuka zina joto lake
Asikwambie mtu, kitu chochote

Kugandana gandana
Kuzuga tunapendana
Mwisho twaaza kuulizana 
Sitaki

Mila sizitaki nyama
Kupenda nimesimama
Moyo wangu umegoma
Hautaki ng'o

Kukesha kesha mawazo mzongo
Sitaki tena kupigana pigana naogopa chongo
Sitaki tena mlemavu akichoka anipa magongo
Sitaki tena kutwa kulia lia kutapika nyongo

Mapenzi yana wenyewe
Si wengine tuwache shobo
Tutazikwa wazima wazima
Eeh eeh eeh

Bora nitulie 
Umri wangu mi bado mdogo
Nisitake ya watu wazima

Naenjoy, naenjoy mama
Naenjoy, naenjoy sana 
Naenjoy japo kuwa sina kitu
Naenjoy mama
Oooh naenjoy, naenjoy sana

Watch Video

About Naenjoy

Album : Naenjoy (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 17 , 2019

More ASLAY Lyrics

ASLAY
ASLAY
ASLAY
ASLAY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl