Hater Lyrics by AMBER LULU


Nikikupa salamu hutaki pokea
Itikadi za kishamba unaniletea
Tukiwa wote klabu nakulipia
Nikitoka nyuma unanizomea

Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?

Pombe nilewe
Hujanunua unune wee
Mwingine atetenywe
Hujatekenya ucheke wee

Chenga mbili tatu
Unajikuta Ronaldo
Unazuga kimombo
Wakati kibantu tu bado

Nikikunyima wiki unachamba(Chamba)
Pombe ya madanga ushamba(Ushamba)
Nitakuponza kiranga(Ranga)
Shuga kaza kitanda(Tanda)

Nikikupa salamu hutaki pokea
Itikadi za kishamba unaniletea
Tukiwa wote klabu nakulipia
Nikitoka nyuma unanizomea

Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?

Izo nge nge nge
Usilete kwangu hizo mbwe mbwe mbwe
Wataku che nde nde nde
Kwa hizo shepu zako za kisesembe

Oh la la, 
kumbe hata kwa Sango unaniendea
Kwangu sala, 
Ata kwa Mungu ninakuombea

Nikivaa nikipendeza
Roho yako inauma eeh
Nikipita natingisha
Roho yako inakunja wee

Nikikupa salamu hutaki pokea
Itikadi za kishamba unaniletea
Tukiwa wote klabu nakulipia
Nikitoka nyuma unanizomea

Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?
Kwani we ni hater?

Watch Video

About Hater

Album : Hater (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Lulu Mafia
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 24 , 2019

More AMBER LULU Lyrics

AMBER LULU
AMBER LULU
AMBER LULU
AMBER LULU

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl