
Bado Lyrics
Bado Lyrics by ALLY MAHABA
Shoda mbayaa
Ndio jina
Nilopewa Mimi kwa wakubwa kwa wadogo
Uuuh yeah mfukoni haya hela Sina mtoto wa masikini
Nashindia mihogo
Ooooh mama
Mbavu naziehesabu chembe Cha Moyo
Kwenye kitovu Sina mabovu ipo siku nitapata pembe la ndovu siwachi kuvumilia
Kuwa na kidonda kwenye makovu
Yaaani naogopa nikija kuzipata nitakua nani
Watausema Nina utajiri wa kiufani
Watayazusha aty walimuabudu shetani
Nia yao iwe chini abadani
Bado kidogo Mimi nifanikiwe
Bado kidogo Mimi nifanikiwe
Bado kidogo Mimi nifanikiwe
Navyo nataka niwe
Bado kidogo
Liwalo na liwe
Hapo maisha Kama jiwe
Wapo wengi walionichukia
Mungu kanipa Mimi kwanini hao hawakupewa
Nasishindwi kuwatolea makucha ya Simba
Nimeyaficha nimeshindwa kuyadondolewa
Kile umepewa na Mungu kwa mja Ni kosa Wala si Kosa
Watazidisha machungu na Mawazo wasilokosa
Wachawi wavunja Wanazi
Kwangu haijaisha
Wote zusha aty niliabudu shetani
Nia yao Ni aty niwe chini abadani
Bado kidogo nifanikiwe
Bado kidogo liwe liwalo nifanikiwe
Shoda mbayaa
Ndio jina
Nilopewa Mimi kwa wakubwa kwa wadogo
Uuuh yeah mfukoni haya hela Sina mtoto wa masikini
Nashindia mihogo
Ooooh mama
Mbavu naziehesabu chembe Cha Moyo
Kwenye kitovu Sina mabovu ipo siku nitapata pembe la ndovu siwachi kuvumilia
Kuwa na kidonda kwenye makovu
Yaaani naogopa nikija kuzipata nitakua nani
Watausema Nina utajiri wa kiufani
Watayazusha aty walimuabudu shetani
Nia yao iwe chini abadani
Bado kidogo Mimi nifanikiwe
Bado kidogo Mimi nifanikiwe
Bado kidogo Mimi nifanikiwe
Navyo nataka niwe
Bado kidogo
Liwalo na liwe
Hapo maisha Kama jiwe
Wapo wengi walionichukia
Mungu kanipa Mimi kwanini hao hawakupewa
Nasishindwi kuwatolea makucha ya Simba
Nimeyaficha nimeshindwa kuyadondolewa
Kile umepewa na Mungu kwa mja Ni kosa Wala si Kosa
Watazidisha machungu na Mawazo wasilokosa
Wachawi wavunja Wanazi
Kwangu haijaisha
Wote zusha aty niliabudu shetani
Nia yao Ni aty niwe chini abadani
Bado kidogo nifanikiwe
Bado kidogo liwe liwalo nifanikiwe
Watch Video
About Bado
More ALLY MAHABA Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl