Bado Lyrics by ALLY MAHABA


Shoda mbayaa
Ndio jina 
Nilopewa Mimi kwa wakubwa kwa wadogo
Uuuh yeah mfukoni haya hela Sina mtoto wa masikini 
Nashindia mihogo
Ooooh mama 
Mbavu naziehesabu chembe Cha Moyo 
Kwenye kitovu Sina mabovu ipo siku nitapata pembe la ndovu siwachi kuvumilia

Kuwa na kidonda kwenye makovu
Yaaani naogopa nikija kuzipata nitakua nani
Watausema Nina utajiri wa kiufani
Watayazusha aty walimuabudu shetani 
Nia yao iwe chini abadani 
Bado kidogo Mimi nifanikiwe 
Bado kidogo Mimi nifanikiwe 
Bado kidogo Mimi nifanikiwe

Navyo nataka niwe
Bado kidogo
Liwalo na liwe
Hapo maisha Kama jiwe
Wapo wengi walionichukia
Mungu kanipa Mimi kwanini hao hawakupewa

Nasishindwi kuwatolea makucha ya Simba 
Nimeyaficha nimeshindwa kuyadondolewa
Kile umepewa na Mungu kwa mja Ni kosa Wala si Kosa
Watazidisha machungu na Mawazo wasilokosa 

Wachawi wavunja Wanazi 
Kwangu haijaisha 
Wote zusha aty niliabudu shetani 
Nia yao Ni aty niwe chini abadani 
Bado kidogo nifanikiwe 
Bado kidogo liwe liwalo nifanikiwe 
Shoda mbayaa
Ndio jina 
Nilopewa Mimi kwa wakubwa kwa wadogo
Uuuh yeah mfukoni haya hela Sina mtoto wa masikini 
Nashindia mihogo
Ooooh mama 
Mbavu naziehesabu chembe Cha Moyo 
Kwenye kitovu Sina mabovu ipo siku nitapata pembe la ndovu siwachi kuvumilia

Kuwa na kidonda kwenye makovu
Yaaani naogopa nikija kuzipata nitakua nani
Watausema Nina utajiri wa kiufani
Watayazusha aty walimuabudu shetani 
Nia yao iwe chini abadani 
Bado kidogo Mimi nifanikiwe 
Bado kidogo Mimi nifanikiwe 
Bado kidogo Mimi nifanikiwe

Navyo nataka niwe
Bado kidogo
Liwalo na liwe
Hapo maisha Kama jiwe
Wapo wengi walionichukia
Mungu kanipa Mimi kwanini hao hawakupewa

Nasishindwi kuwatolea makucha ya Simba 
Nimeyaficha nimeshindwa kuyadondolewa
Kile umepewa na Mungu kwa mja Ni kosa Wala si Kosa
Watazidisha machungu na Mawazo wasilokosa 

Wachawi wavunja Wanazi 
Kwangu haijaisha 
Wote zusha aty niliabudu shetani 
Nia yao Ni aty niwe chini abadani 
Bado kidogo nifanikiwe 
Bado kidogo liwe liwalo nifanikiwe 

 

Watch Video

About Bado

Album : Bado (Album)
Release Year : 2016
Copyright : ©2016
Added By : Its marleen
Published : Apr 24 , 2020

More ALLY MAHABA Lyrics

ALLY MAHABA
ALLY MAHABA
ALLY MAHABA
ALLY MAHABA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl